toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,612
- 4,721
Hili soko huwa linakua ni siku gani limechangamka? Nahitaji kwenda huko kununua nguo na viatu watu wanalisifia sana hapa Moshi na Arusha ila sijawahi kufika
Unashuka kituo gani kwa mtu anayetokea Arusha???
Na huwa ni siku gani linakua limechangamka?
Unashuka kituo gani kwa mtu anayetokea Arusha???
Na huwa ni siku gani linakua limechangamka?