Naumia, nalia, nasononeka kila nikiliona kaburi la Akwilina Akwilin. Serikali ilipe fidia familia yake; marehemu alipanga kuwajengea wazazi wake

Naumia, nalia, nasononeka kila nikiliona kaburi la Akwilina Akwilin. Serikali ilipe fidia familia yake; marehemu alipanga kuwajengea wazazi wake

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Nimeona kabla ya kufika tarehe 1/04/2022 niwakumbushe Wana JF ya kuwa hilo hapo ni kaburi la kijana wetu mtoto wetu Akwilina Akwilin aliyefariki kwa kupigwa risasi Na Askari polisi aliye kuwa anazuia maandamano ya Chadema.

Polisi alifyatua risasi na kuua mwananfunI ambaye hakuwa hata kwnye maandamano.

Ukiangalia hapo kwenye pcha ni rafiki yake kipenzi walie soma pamoja ameenda kumsalimia rafiki yake akiwa kaburini hakuishia hapo akaamua kumpa pole mzazi aliye uza kahawa, ndizi na kitu aliacha kujenga nyumba Bora akawekeza kwa mtoto Tena mtoto wa kike jamani!

Hii inaumiza ukiangalia vizuri mzazi alitemfikisha mwanae chuo kikuu yeye aliishia kuishi nyumba ya udongo.

Kwa taarifa za chini chini skari aliyeua mtoto Huyu Bado yupo kazini na aliamishwa kituo tu, yaani ni sawa yule aliyemtolea nape bastora alihamishiwa mtwara Ili kufichwa ila hakujua kuwa nape ni wa huko huko, sasa yupo serooooo

Naumia Nalia naomba jeshi la polisi lilipe fidia hata kwa kumjengea nyumba Huyu Mzee,ingawa najua Mzee wa kichaga mnaweza mjengea nyumba alafu akafugia nguruwe.

20220324_090617.jpg
 
Unajua bwana ile risasi ilifyatuliwa hewani ikapanda ikashuka, ikakata horizontal moja ikaingia ndani ya daladala ikamkuta mtoto Akwilina.

Hii sayansi hata Putin hana kabisa.
 
Tuwe makini sana na hizi siasa, tusipokuwa makini madhara yake ndio hayo aliyekuwemo na asiyekuwemo.

Hapa natoa tahadhari kwa wote wafanya siasa zenye mlengo wa kushika dola, wapi wenye dola wanalinda mamlaka zao na wapo wasaka dola wanatafuta kushika dola hata kwa damu.
 
Unajua bwana ile risasi ilifyatuliwa hewani ikapanda ikashuka, ikakata horizontal moja ikaingia ndani ya daladala ikamkuta mtoto Akwilina. Hii sayansi hata Putin hana kabisa.
Ile risasi ilikusudiwa Mbowe sema tu wakati wake tu bado ndo ikakata kona ikamfata binti asiye na hatia.

Dunia mapito leo upo kesho haupo. Maisha ni draft leo upo kesho haupo.

Maisha yanasonga bila Jiwe, sabaya, ndugai, makonda, kange, kessy, nkamia.
 
Serikali itimize ahadi yake tuliwasikia wakisema wataisaidia familia hio
 
Sasa unalialia nini?
Wasilisha mada km ilivyo .
RIP akwilina
 
Tuwe makini sana na hizi siasa, tusipokuwa makini madhara yake ndio hayo aliyekuwemo na asiyekuwemo.

Hapa natoa tahadhari kwa wote wafanya siasa zenye mlengo wa kushika dola, wapi wenye dola wanalinda mamlaka zao na wapo wasaka dola wanatafuta kushika dola hata kwa damu.
Umeandika kipoyoyo sana.
 
Huyo askari ilitakiwa apigwe matukio kwa njia nyingine ikiwezekana naye apotezwe tutakutana mbele ya safari huko.
 
Nimeona kabla ya kufika tarehe 1/04/2022 niwakumbushe Wana JF ya kuwa hilo hapo ni kaburi la kijana wetu mtoto wetu Akwilina Akwilin aliyefariki kwa kupigwa risasi Na Askari polisi aliye kuwa anazuia maandamano ya chadema.

Polisi alifyatua risasi na kuua mwananfunI ambaye hakuwa hata kwnye maandamano.

Ukiangalia hapo kwenye pcha ni rafiki yake kipenzi walie soma pamoja ameenda kumsalimia rafiki yake akiwa kaburini hakuishia hapo akaamua kumpa pole mzazi aliye uza kahawa,ndizi na kitu aliacha kujenga nyumba Bora akawekeza kwa mtoto Tena mtoto wa kike jamani!

Hii inaumiza ukiangalia vizuri mzazi alitemfikisha mwanae chuo kikuu yeye aliishia kuishi nyumba ya udongo,

Kwa taarifa za chini chini skari aliyeua mtoto Huyu Bado yupo kazini na aliamishwa kituo tu, yaani ni sawa yule aliyemtolea nape bastora alihamishiwa mtwara Ili kufichwa ila hakujua kuwa nape ni WA huko huko ,Sasa yupo serooooo


Naumia Nalia naomba jeshi la polisi lilipe fidia hata kwa kumjengea nyumba Huyu Mzee,ingawa najua Mzee wa kichaga mnaweza mjengea nyumba alafu akafugia nguruwe .View attachment 2162478View attachment 2162480View attachment 2162479View attachment 2162481
Mbona mfariji amevaa kama freemason
 
Kila ubaya utalipwa , Mambosasa , Makonda , Kagulumujuli , Mtulia watalipa tu
 
Nimeona kabla ya kufika tarehe 1/04/2022 niwakumbushe Wana JF ya kuwa hilo hapo ni kaburi la kijana wetu mtoto wetu Akwilina Akwilin aliyefariki kwa kupigwa risasi Na Askari polisi aliye kuwa anazuia maandamano ya Chadema.

Polisi alifyatua risasi na kuua mwananfunI ambaye hakuwa hata kwnye maandamano.

Ukiangalia hapo kwenye pcha ni rafiki yake kipenzi walie soma pamoja ameenda kumsalimia rafiki yake akiwa kaburini hakuishia hapo akaamua kumpa pole mzazi aliye uza kahawa, ndizi na kitu aliacha kujenga nyumba Bora akawekeza kwa mtoto Tena mtoto wa kike jamani!

Hii inaumiza ukiangalia vizuri mzazi alitemfikisha mwanae chuo kikuu yeye aliishia kuishi nyumba ya udongo.

Kwa taarifa za chini chini skari aliyeua mtoto Huyu Bado yupo kazini na aliamishwa kituo tu, yaani ni sawa yule aliyemtolea nape bastora alihamishiwa mtwara Ili kufichwa ila hakujua kuwa nape ni wa huko huko, sasa yupo serooooo

Naumia Nalia naomba jeshi la polisi lilipe fidia hata kwa kumjengea nyumba Huyu Mzee,ingawa najua Mzee wa kichaga mnaweza mjengea nyumba alafu akafugia nguruwe.

View attachment 2162481
Sioni picha ya kaburi,lakini pili umeandika uongo,SI kweli kwamba aliyemtolea Bastola Nape ni Askari (Gilbert) ambaye kwa sasa yupo Mahabusu kwa Kesi ya yule kijana wa Madini,Gazeti la Mwananchi walidanganya kumhusisha Gilbert na suala la Nape
 
Sioni picha ya kaburi,lakini pili umeandika uongo,SI kweli kwamba aliyemtolea Bastola Nape ni Askari (Gilbert) ambaye kwa sasa yupo Mahabusu kwa Kesi ya yule kijana wa Madini,Gazeti la Mwananchi walidanganya kumhusisha Gilbert na suala la Nape
Mwaongo n ww
 
Chadema walitakiwa wafanye mchango kwa ajili ya familia ya marehemu
 
Tuseme aliyelengwa alikuwa na kinga kali katika ulimwengu wa roho, ikatua kwa mtu asiyejua mambo ya ulimwengu wa roho. Ama kweli maisha ni mchezo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema na nyie mmehusika mauaji hayo msirushe mpira kwengine maana hata mliyekua mnampigania akili zake mliziona mbeleni
 
Back
Top Bottom