EEH!.....
haya fl1,carmel,nyamayao KAZI KWENU
basi njoo kwangu mimi MJOMBA...
niko ki-praktiko zaidi
Mjomba wewe sio msaada kabisa.( hilo swala la kua kipraktiko ndio naliogopa, siwezi kumsaliti Mume wangu hata kwa mtutu)
...sioni kama anashindwa kuniandaa vizuri maana mara zote nakubali maandalizi tunayofanya kabla ya tendo.
Naogopa kumkatalia mume wangu penzi maana anaweza toka nje halafu ikawa matatizo
Mhh kuna shangazi na wafundaji kibao siku hizi hata buku 5 utapata wa kukufunda... haya mwambie shemeji akuandae vya kutosha jmni au nanihii yake kubwa sna hahha haha hata ikiwa kubw aukiandaliwa vizuri huko maeneo yatakuwa tayari yamelainika kumpokea!
Naungana na wewe. Inawezekana jamaa ana mtarimbo mrefu sana. Siku zote kama jamaa ana kitu kirefu halafu akawa anakizamisha chote, lazima kitagusa kwenye cervix ambako bila shaka mwanamke atasikia maumivu. Na hii ina athari kubwa. Kama mtarimbo utaendelea kugusa cervix unaweza kusababisha kulegea kwa ile valve ya kwenye cervix na kusababisha mimba kutoka.Hapa kuna sababu nyingi za kama vile:
1.0 Mtaimbo mkubwa kama ilivyotanguliwa kusemwa
2.0 Style inayotumika
3.0 Kutoiva kwa maandalizi
4.0 Ugonjwa
Swali: Umewahi kujadili hili na mumeo?
Umesema kuwa wakati mwingine unafurahia, je unakumbuka ile siku ilikuwaje ili urudie yaliyofanyika?
EEH!.....
haya fl1,carmel,nyamayao KAZI KWENU
Mhh kuna shangazi na wafundaji kibao siku hizi hata buku 5 utapata wa kukufunda... haya mwambie shemeji akuandae vya kutosha jmni au nanihii yake kubwa sna hahha haha hata ikiwa kubw aukiandaliwa vizuri huko maeneo yatakuwa tayari yamelainika kumpokea!
Mkuu nnaswali nje ya topic kidogo.
Mfano huyo ni mkeo, afu unaamua kumpeleka hospitali.
Doctor wa kiume (ambaye pengine ni jirani au mnafahamiana nae) anaomba achojoe ili amkague maeneo, inakuaje apo.
Dr akikuomba utoke nje utatoka?
Aminia baba ake.Kumbe kuna madaktari humu...Nitakutafuta Masanilo...Unaweza niPM kwa ushauri sitaki mwaga mchele kwenye kuku wengi tena wa kienyeji. Kifupi hiyo hali inaitwa dyspareunia inategemea maumivu yako yakoje, kama ni kwa ndani unaweza kuwa na tatizo la kimaumbile ama ugonjwa. Unatakiwa ufurahie ngono. Kuna uwezekano kuwa na tatizo kwenye Cervix, Ovary (Cysts) uvimbe kwenye mfuko wa uzazi (Endometriosis) kuna sababu nyingi za kitaalamu hata kama unatumia contraceptives kuna amabazo hukausha ule ute! PM for more....
ukubwa sio tatizo MR, huyu labda ni mkavu...ndio mana namuuliza tatizo lilianza muda mrefu.
Wadada na wamama waliombwa ushauri hapa. Kuna wa jinsia nyingine wameingia choo cha kike! lol
...Jamani kina mama, dada na wote, hebu niambie kama hii ni kawaida na nifanyeje ili kuondokana na hii hali.
[SIZE=3[B]]...tumia Vaseline[/B] kama KY ni shida kupatikana. Maumivu yakiendelea, muone dakitari.[/SIZE]
Aminia baba ake.Kumbe kuna madaktari humu...Nitakutafuta Masanilo...
Mkuu Mbu hii Vaseline huwa inasaidia kurahisisha penetration kweli? Maana katika pita pita yangu huku na kule mtandaoni naona wengi wanaipiga vita sana.
...kwakuwa ni petroleum Gel (Petrol based), inadhoofisha material inayotengenezewa condom na kusababisha kupasuka.
Kwa wengine, wanadai mgando wake ni taabu kujisafisha hivyo ku habour bacteria. Hii inawahusu zaidi watumiaji wa 'TiGo.'
Pia hii inategemea usafi wa mtu.
Naamini wengi huona urahisi kununua Vaseline kuliko kwenda Pharmacy kuulizia au kununua KY ambayo ni water based.
KY nazo ziko za aina mbali mbali, ambayo ni nzuri zaidi ni SILK E, lakini unaweza kukuta mtumiaji mwingine akakwambia hii si nzuri lakini watumiaji wengi wanaisifia sana hii SILK E.
Mimi ni mwanamke niliyeolewa na nina mwaka mmoja kwenye ndoa. Katika siku zote ninazoishi na Mume wangu ni siku chache sana nafurahia tendo la ndoa maana mara zote napata maumivu makali wakati wa tendo.
Sielewi kwamba hua tunakosea style au vp? maana naweza kukosa amani kabisa nikiwaza kukutana na Mume wangu, na pia sioni kama anashindwa kuniandaa vizuri maana mara zote nakubali maandalizi tunayofanya kabla ya tendo.
Naogopa kumkatalia mume wangu penzi maana anaweza toka nje halafu ikawa matatizo
Jamani kina mama, dada na wote, hebu niambie kama hii ni kawaida na nifanyeje ili kuondokana na hii hali.