Naumia wakati wa kufanya mapenzi

Alianza hivi....

EEH!.....
haya fl1,carmel,nyamayao KAZI KWENU

Kisha akajumuika nao...

basi njoo kwangu mimi MJOMBA...
niko ki-praktiko zaidi

Lakini....

Mjomba wewe sio msaada kabisa.( hilo swala la kua kipraktiko ndio naliogopa, siwezi kumsaliti Mume wangu hata kwa mtutu)

Mpendwa Hope... Nakushauri uonane na wataalamu wa afya... Kila la Kheri
 
pole sana!it is better ukamwona doctor!
 
...sioni kama anashindwa kuniandaa vizuri maana mara zote nakubali maandalizi tunayofanya kabla ya tendo.
Naogopa kumkatalia mume wangu penzi maana anaweza toka nje halafu ikawa matatizo

jiandae kisaikolojia muda mrefu kwa tendo hilo; pumzika muda mrefu huku ukimsubiri mumeo, usishiriki ukiwa umechoka, una hasira, mawazo. jishawishi mwenyewe kwamba: leo nitafurahia tendo.
 
...tumia Vaseline kama KY ni shida kupatikana. Maumivu yakiendelea, muone dakitari.
 

Mary nawe umo''''''na kasura kako kalivyo kazuri mpaka natamani ayo maneno yako ,,,
 
Pole sana dadaangu...Wakati mwingine tatizo lako linaweza kuwa la kisaikolojia zaidi...Kuna dada mmoja aliwahi kufanyiwa mambo mabaya wakati anaanza kufanya matendo haya, basi akawa hata baada ya kuolewa anaogopa sana tendo hili!...Hata akiandaliwa namna gani anahisi huenda mumewe ataishia kumfanya vile alivyotendwa zamani, matokeo yake amekuwa haoni raha yoyote, bali maumivu na mateso!...Yakishindikana yote pata ushauri nasaha!
 
Naungana na wewe. Inawezekana jamaa ana mtarimbo mrefu sana. Siku zote kama jamaa ana kitu kirefu halafu akawa anakizamisha chote, lazima kitagusa kwenye cervix ambako bila shaka mwanamke atasikia maumivu. Na hii ina athari kubwa. Kama mtarimbo utaendelea kugusa cervix unaweza kusababisha kulegea kwa ile valve ya kwenye cervix na kusababisha mimba kutoka.
Jaribu wakati fulani kumshauri mmeo asiizamishe sana. Hope utaona tofauti. Wanawake wengi ambao wamelalamika kuumia kwenye mapenzi wengi wao huwa ni tatizo la waume zao kuwa na uume mrefu mno.
 

ukubwa sio tatizo MR, huyu labda ni mkavu...ndio mana namuuliza tatizo lilianza muda mrefu.
 
Mkuu nnaswali nje ya topic kidogo.

Mfano huyo ni mkeo, afu unaamua kumpeleka hospitali.
Doctor wa kiume (ambaye pengine ni jirani au mnafahamiana nae) anaomba achojoe ili amkague maeneo, inakuaje apo.
Dr akikuomba utoke nje utatoka?


heee jamani, sasa hao wanatuzalisha na kuona kila kitu ijekuwa kutibiwa tu?
 
Aminia baba ake.Kumbe kuna madaktari humu...Nitakutafuta Masanilo...
 
Wadada na wamama waliombwa ushauri hapa. Kuna wa jinsia nyingine wameingia choo cha kike! lol
 
kama mandalizi yapo ya kutosha hapo sijui... kusema uchi ni mdogo sidhani. labda wakati wa kuingiza yeye huenda direct wakati inatakiwa taratibu. nami yalinikuta wakati fulani hayo kwa niliyekuwa nae ila tulilisolv na kuwa fresh.
 
ukubwa sio tatizo MR, huyu labda ni mkavu...ndio mana namuuliza tatizo lilianza muda mrefu.

...si ndio maana nikamshauri atumie lubes. Michubuko ni karaha.

Wadada na wamama waliombwa ushauri hapa. Kuna wa jinsia nyingine wameingia choo cha kike! lol
...Jamani kina mama, dada na wote, hebu niambie kama hii ni kawaida na nifanyeje ili kuondokana na hii hali.

...Eek-a-Mangi hukumsoma dada hapo juu.
 
[SIZE=3[B]]...tumia Vaseline[/B] kama KY ni shida kupatikana. Maumivu yakiendelea, muone dakitari.[/SIZE]

Mkuu Mbu hii Vaseline huwa inasaidia kurahisisha penetration kweli? Maana katika pita pita yangu huku na kule mtandaoni naona wengi wanaipiga vita sana.
 
Aminia baba ake.Kumbe kuna madaktari humu...Nitakutafuta Masanilo...

Umeona eh! kuna siku alikuwa anamjibu jamaa kuhusu swali lake hapa hapa jamvini jinsi alivyolijibu kiutalaamu na terminologies alizozitumia basi nikajua jamaa ni Doctor.
 
Mkuu Mbu hii Vaseline huwa inasaidia kurahisisha penetration kweli? Maana katika pita pita yangu huku na kule mtandaoni naona wengi wanaipiga vita sana.

...kwakuwa ni petroleum Gel (Petrol based), inadhoofisha material inayotengenezewa condom na kusababisha kupasuka.
Kwa wengine, wanadai mgando wake ni taabu kujisafisha hivyo ku habour bacteria. Hii inawahusu zaidi watumiaji wa 'TiGo.'
Pia hii inategemea usafi wa mtu.

Naamini wengi huona urahisi kununua Vaseline kuliko kwenda Pharmacy kuulizia au kununua KY ambayo ni water based.
 

KY nazo ziko za aina mbali mbali, ambayo ni nzuri zaidi ni SILK E, lakini unaweza kukuta mtumiaji mwingine akakwambia hii si nzuri lakini watumiaji wengi wanaisifia sana hii SILK E.
 
KY nazo ziko za aina mbali mbali, ambayo ni nzuri zaidi ni SILK E, lakini unaweza kukuta mtumiaji mwingine akakwambia hii si nzuri lakini watumiaji wengi wanaisifia sana hii SILK E.

Nisaidie ndugu yangu KY ni nini?
 

Hii hali kinamama wengi inawatokea, lakini wakati mwingine inasababishwa na wao wenyewe kutokuwa tayari kwa tendo hilo....
Mwanamke ukute yeye anadai aandaliwe lakini yeye mwenyewe akili yake inakuwa haiko tayari kwa tendo hilo, hapo mume hata akusugue vipi!!! hata atumie jiko la mkaa, hutajisika!!
Mkubali mzee, na usione adhabu kufanya hilo tendo.....lakini mwisho ikishindikana kawaone wataalamu...........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…