Naumizwa na hii harufu

TIQO

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2011
Posts
13,786
Reaction score
2,095
Nimekaa bar naangalia show amekuja mwanamke na njemba wamekaa meza ya jirani wananuka harufu ya condom sijui jamaa limetafunia kwenye gari au pagale yaani hata show sifaidi nimeharibiwa utulivu.
 
mnh acha kutunga hadithi...condom zinanukaje mpaka mtu wa meza ya jirani usikie?
 
Nimekaa bar naangalia show amekuja mwanamke na njemba wamekaa meza ya jirani wananuka harufu ya condom sijui jamaa limetafunia kwenye gari au pagale yaani hata show sifaidi nimeharibiwa utulivu.

Pole sana. Na kinachozuia wewe usiondoke pale ni nini?
 
kuna siku ntawauliza 'sijapiga mswaki ntanuka mdomo?'
 
Wewe inaonekana hujazoea kutumia,mwendo wa dry.
Nimekaa bar naangalia show amekuja mwanamke na njemba wamekaa meza ya jirani wananuka harufu ya condom sijui jamaa limetafunia kwenye gari au pagale yaani hata show sifaidi nimeharibiwa utulivu.
 
repoti abuse..; inaonekana jamaa bado kavaa condom iliyotumika...
 
May be its true, Condom za 3 bomba huwa zinatoa harufu sana, kama una mke, na ni mwingi wa part time nje, usijaribu zitakuumbua na hasa kama huwa unazitumia nyumbani na wife.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…