Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
Eti anaogopa hospitali kwahio anatafuta mpenzi wa kumpeleka
ahahaaa jamani nyie naumwa kweliHili ndo lengo la thread, zingine zote mbwembwe.
hata wanawake wnapaka mkuuPole mkuu ila naomba kuuliza, hivi hayo mafuta unayouza ni kwa ajili ya wanaume tu ???
Maumivu yakizid sana nenda kamuone daktariiNina week sasa Napata maumivu makali upande wa kushoto katikati ya kiuno na kifua kama unaenda mgongoni hivi. Panauma sana kwa ndani ni ugonjwa gani wakuu.
Kuhusu kwenda hosptali naogopa sana hospital natafuta mpenzi wa kunipeleka
asante mpenzi .upo mwanasheria?Pole sana Mkuu Miss Natafuta . I wish you a quick recovery!
Nipoasante mpenzi .upo mwanasheria?
Sasa Si usafir uende , huo ndo ubinadamu Na upendo banaSipo Huko Dar mimi
Safi Sana doktariMiss hizo si dalili nzuri, check uzito na urefu wako pia pima diabetes na cholesterol level kwenye damu.
Ikiwezekana fanya kiti hasa za kupungua mzaa uzito
Nenda Mkuu waweza pata Mke hivi hiviMmh hatari sana, watakaoweza waende nae
bado bado mimiNenda Mkuu waweza pata Mke hivi hivi
waache walio Daslam wafaidi fursaSasa Si usafir uende , huo ndo ubinadamu Na upendo bana
Njoo nikufanyie massage[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]Nina week sasa napata maumivu makali upande wa kushoto katikati ya kiuno na kifua kama unaenda mgongoni hivi panauma sana kwa ndani ni ugonjwa gani wakuu kuhusu kwenda hosptali naogopa sana hospitali natafuta mpenzi wa kunipeleka.
Kamuone daktari lakini jitahidi kufanya mazoezi matatizo mengi ya aina hiyo husababishwa na ukosefu wa virutubisho na Mwili hujengwa kwa vyakula (mlo kamili) na kufanya mazoeziNina week sasa napata maumivu makali upande wa kushoto katikati ya kiuno na kifua kama unaenda mgongoni hivi panauma sana kwa ndani ni ugonjwa gani wakuu kuhusu kwenda hosptali naogopa sana hospitali natafuta mpenzi wa kunipeleka.