Miguu ziko vzr kbs hazina shidaMiguu vipi imevimba pia??
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nilihitaji dawa coz nakumbuka kuna kipindi niliwahi ugua nikatumia dawa baada ya hapo nikapata nafuuKikubwa ungeenda hospitali inaweza kua matatizo ya moyo yanaweza kua matatizo mengine pia
Ni vema uende hospitali haraka iwezekanavyo
Sent from my iPhone using JamiiForums
undefinedunapoumwa ni sehemu nyeti,inabidi uwahi hospital kabla ugonjwa hauja advanceMiguu ziko vzr kbs hazina shida Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ntaenda nikiwa off coz nina kazi nafanya so nilihitaji huduma ya kwanzaNenda hospitali
Huu utamaduni wa mgonjwa kuja humu jamvini kuomba ushauri wa ugonjwa badala ya kuwahi hospitali sijui nani kauanzisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi siyo mzinzi pia huwa nacheki afya yangu mara kwa maraSwali nje ya mada; wewe ni muhaya?
.
.
Onana na daktari haraka sana na fanye body checkup ila usisahau kupima ngoma/miwaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli nami naona khali yangu si nzuriundefinedunapoumwa ni sehemu nyeti,inabidi uwahi hospital kabla ugonjwa hauja advance
Pole sana ndg,, kama huwa unawasha feni usiku jaribu kuzima (lala bila feni) halafu uangalie mabadiliko. Kama hamna mabadiliko yoyote nakushauri uende hospitali kwa vipimo zaidi yaweza kuwa ni asthmaWadau mimi nakumbwa na maradhi likitoka hili linakuja lingine[emoji22],,kwa sasa kifua kinabana nakohoa kwa shida kila nilalapo, ila mchana huwa sihangaiki kama usiku ,mchana nashinda vzr ila ifikapo usiku nikilala nakohoa huku kifua nacho kimenibana sana kwa anayejua tiba anisaidie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa ushauri wako mzuri barikiwa sana natumka feni ila so mara nyingi sanaPole sana ndg,, kama huwa unawasha feni usiku jaribu kuzima (lala bila feni) halafu uangalie mabadiliko. Kama hamna mabadiliko yoyote nakushauri uende hospitali kwa vipimo zaidi yaweza kuwa ni asthma
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekutext PMhicho ni kifua cha mshipa nliumwa sana hadi nkahic nina ukimwi nlikuja kupona kwa mti mmoja upo mkuranga mzee mmoja ndo alinichimbia bureee nipe namba yako nkutumie namba yake umpigie
Sent using Jamii Forums mobile app