Brightman Jr
JF-Expert Member
- Mar 22, 2009
- 1,224
- 234
Pol e sana kwa kuumwa tunweza kukusaidia kwa tiba mbadala lakini hatujaujuwa ugonjwa tutaweza vipi kukupa dawa? ningelikushauri uende Hospitali ya muhimbili ukapige XRay na pia upime Damu ili wapate kujuwa Ma-Daktari unaumwa ugonjwa gani? Ninakupa huduma ya kwanza (first aid) Kama unayo nyumbani Asali kunywa kijiko 1 asaubuhi kabla ya kula kitu na wakati wa mchna pia kunywa asali na tena na wakati wa usiku kunywa tena Asali huku uende hospitali uje hapa tena utupe majibu ya hospitali wamesema unaumwa kitu gani? uguwa pole Mkuu.@Brightman JrWakuu habari zenu!
Jamani miye naumwa upande wa kushoto wa moyo; nina maumivu makali. Nimekwenda hospital nyingi sijapata suluhisho; maumivu hutulia kwa muda baada ya tiba na kuanza tena. Nashindwa kuelewa ugonjwa huu jamani wengine wanasema ni Angina, wengine dalili za moyo, wengine Uric acid,, ulcers na majina mengi tu. Nisaidieni mnaojua tiba mbadala wakuu. MziziMkavu na wengine nawakaribisha...!
umesema maumivu hutulia wwakikupa tiba. ni tiba gani? walisema unaumwa nini na dawa gani zilikutuliza?.MziziMkavu Nashukuru kwa ushauri Mungu akubariki nitaufanyia kazi ushauri huo!
watu wwwa dizaini yako mnaudhi sana, na bado unajiita brightman!Asanteni kwa ushauri wakuu. Mungu anisaidie nipone maradhi haya!
watu wwwa dizaini yako mnaudhi sana, na bado unajiita brightman!
Ah! We mwache atafute tiba,maombi yanasaidia nini. Kila ugonjwa unadawa yake, hayo maombi nidawa ya ugojwa gani?Pole sana kwa kuumwa. Pia maombi huwa yanasaidia. Fanya sala pia
watu karibu watatu tumekuuliza daktari ulipoenda alisema unaumwa nini na dawa gani zilikutuliza? maana kuna chanca mbili kubwa angina na ulcers japo panic attack nayo tunaiweka kwa mbali. we badala ya kujibu maswali ya msingi unayapuuza.Mkuu ubaya uko wapi kutoa shukrani kwa waliotoa ushauri kwangu? Ndo maana naitwa Brightman, kamwe siwezi kupuuza ushauri wa watu humu jamvini.
watu karibu watatu tumekuuliza daktari ulipoenda alisema unaumwa nini na dawa gani zilikutuliza? maana kuna chanca mbili kubwa angina na ulcers japo panic attack nayo tunaiweka kwa mbali. we badala ya kujibu maswali ya msingi unayapuuza.