Brightman Jr
JF-Expert Member
- Mar 22, 2009
- 1,224
- 234
Wakuu habari zenu!
Jamani miye naumwa upande wa kushoto wa moyo; nina maumivu makali. Nimekwenda hospital nyingi sijapata suluhisho; maumivu hutulia kwa muda baada ya tiba na kuanza tena. Nashindwa kuelewa ugonjwa huu jamani wengine wanasema ni Angina, wengine dalili za moyo, wengine Uric acid,, ulcers na majina mengi tu. Nisaidieni mnaojua tiba mbadala wakuu. MziziMkavu na wengine nawakaribisha...!
Jamani miye naumwa upande wa kushoto wa moyo; nina maumivu makali. Nimekwenda hospital nyingi sijapata suluhisho; maumivu hutulia kwa muda baada ya tiba na kuanza tena. Nashindwa kuelewa ugonjwa huu jamani wengine wanasema ni Angina, wengine dalili za moyo, wengine Uric acid,, ulcers na majina mengi tu. Nisaidieni mnaojua tiba mbadala wakuu. MziziMkavu na wengine nawakaribisha...!
Last edited by a moderator: