Hapa ndio nimeng'amua, hii ni mkakati maalum [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama kuna mtu ana mgonjwa au amelazwa mloganzila aje pm nichukulie hata matunda jamani.au misosi anything
Ndo naondoka home
Ila Niko hoooi
Aisee kuwa single sio
Vipi Sasa kuhusu ombi langu!?Pole. Na mimi nilikua naumwa hivyo hivyo nikajikausha kama siku 4 nikaona nitafia ndani. Jitahidi uende hospital mama kukaa na ugonjwa nyumbani si kitu kizuri.
Biashara matangazo mkuuPole Sana
Kuhusu kuwa single hilo jina libadilishe badala ya "miss natafuta liwe miss nimepata"
Hapa ndio nimeng'amua, hii ni mkakati maalum
Watu negative Kama wewe hamkosekani kwenye jamiiHapa ndio nimeng'amua, hii ni mkakati maalum [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha tu uongooo nabii au mgangaNiambie ulipo ili nije faster nikufanyie maombi. Mimi ni Nabii maarufu sana hapa nchini. Nikikuwekea tu mkono kichwani, mapepo yote yanakimbilia kusikojulikana.
Mkuu sasa neno single lilikuwa na umuhimu hapo?Watu negative Kama wewe hamkosekani kwenye jamii
Kula malimauToka juzi naumwa yaani kuna saa nasikia bariidii
Kuna saa nasweat Sana hasa usiku
Halafu sina nguvu wala appetite
Na mdomo mchungu
Pia sina nguvu
Sitaki kwenda hosptal
Naombeni mniambie dawa ya kutumia najua wataalamu wengi humu
Dalili zake sinafanan kabisa na Malaria. Hii kuchemka muda mwingine inaleta dhana ya typhoid. Sijajua suala la kula analionaje kama anatapika au kuhara ni typhoid na kama hana appetite ni MalariaU.T.I or Malaria
Haya ni majibu ya akili bandia(AI)
Heeeeeh! Njoo mbagala huku nikupime nikupe na dawa bila kutolewa dam. Utapona leo leoJiagegedwa miaka 2 sasa
Una ugonjwa wa malaria.Toka juzi naumwa yaani kuna saa nasikia bariidii
Kuna saa nasweat Sana hasa usiku
Halafu sina nguvu wala appetite
Na mdomo mchungu
Pia sina nguvu
Sitaki kwenda hosptal
Naombeni mniambie dawa ya kutumia najua wataalamu wengi humu
Ni dalili za umauti kukukuta siku za usoni. Goma tu kwenda hospitali tukuimbie parapanda. Utapenda kuzikwa mjini ama usafirishwe?Toka juzi naumwa yaani kuna saa nasikia bariidii
Kuna saa nasweat Sana hasa usiku
Halafu sina nguvu wala appetite
Na mdomo mchungu
Pia sina nguvu
Sitaki kwenda hosptal
Naombeni mniambie dawa ya kutumia najua wataalamu wengi humu
Ni dalili za umauti kukukuta siku za usoni. Goma tu kwenda hospitali tukuimbie parapanda. Utapenda kuzikwa mjini ama usafirishwe?
Nilienda hosptal sikukutwa na ugonjwa wowote mkuuNi dalili za umauti kukukuta siku za usoni. Goma tu kwenda hospitali tukuimbie parapanda. Utapenda kuzikwa mjini ama usafirishwe?
Sikuwa na shida yoyoteUna ugonjwa wa malaria.