Leo asubuhi nilipoamka alfaji kujiandaa kwenda kazini kuzunguzunga kilinishika kama nimeamka na pombe.nikajitahidi nikaondoka kwenda kazini lakini mguu ukawa mzito nauburuza nikiuwekea umakini natembea vizuri nikijisahau tu unaburuzika mbaya zaidi nikiongea utafikiri nimeweka tumbaku mdomoni hata wenzangu kazini walinishangaa wakadhani nimeamka na hangover but wakashangaa hali hiyo ilipoendelea mpaka jioni.wanajf nini tatizo hili na matokeo yake ni nini nanifanyeje. Nisaidieni kabla sijajibinafsisha kitana