Naunga Mkono Betting, Kampuni za Kamali, Endeleeni Kuja kwa Wingi Tanzania!

Naunga Mkono Betting, Kampuni za Kamali, Endeleeni Kuja kwa Wingi Tanzania!

Chige

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2008
Posts
13,495
Reaction score
29,872
Taifa kama taifa ni LAZIMA litafute namna ya kuchukua pesa za wanaobet ili kuziingiza kwenye mfumo unaoleweka wa kiuchumi!!!

Tukitumia mfano wa mtu anayefahamika na wengi kwa mfano, Diamond Platnumz, hivi karibuni amezindua kampuni ya betting... yaani kampuni ya watu kucheza kamali!

Kwa hili, Diamond Platnumz na wenzake wataokota okota buku buku za waliojaa huko mitaani na kuziweka kwenye kapu moja ambalo matumizi yake yatajadiliwa na wenye akili!

Mond mwenyewe na wenzake, watapata share kubwa tu kutoka hizi buku buku walizookoteza. Kuna uwezekano mkubwa sana wa kundi hili likatumia hizi pesa kwa manufaa makubwa ya jamii, kwa mfano kufungua biashara zinazoweza kutoa ajira!

Serikali na yenyewe itakuwa inapata kodi kutoka kwenye buku buku zilizookotezwa !

Kwa maana nyingine, hiyo ndo njia pekee ya kulipa kodi na kuchangia ustawi wa jamii !! Hizi buku buku zikiachwa ziendelee kuwa mifukoni mwao, zinaweza kuleta madhara makubwa zaidi kwa jamii kuliko mnavyodhani!!

Kwahiyo, nasisitiza betting iendelee, na kampuni nyingi zaidi zianzishwe Tanzania ili watu walipe kodi indirectly!!

Alamsiki!!
 
Dah! Kweli wahitimu wa vyuo, akili zimechoka na kukata tamaa! Yaani badala ya kuishauri serikali yako isiyo jielewa kuongeza bajeti kwenye sekta ya kilimo ili kuongeza ajira kwa vijana kupitia kilimo cha kisasa na che tija! Wewe unaishauri iendelee kuleta makampuni ya kucheza kamari!

Kwa huu mtazamo wako, wacha tu PhD za wanasiasa ziendelee kutamalaki.
 
Dah! Kweli wahitimu wa vyuo, akili zimechoka na kukata tamaa! Yaani badala ya kuishauri serikali yako isiyo jielewa kuongeza bajeti kwenye sekta ya kilimo ili kuongeza ajira kwa vijana kupitia kilimo cha kisasa na che tija! Wewe unaishauri iendelee kuleta makampuni ya kucheza kamari!

Kwa huu mtazamo wako, wacha tu PhD za wanasiasa ziendelee kutamalaki.
Ongeza kasi ya ku-bet ili serikali ikusanye kodi nyingi zaidi na hatimae iongeze bajeti kwenye sekta uipendayo!
 
Watu wa betting ndio walipa Kodi mara nyingi Kwa siku endapo akibet zaidi ya mara 5
Tena hata walevi waliokuwa wanatamba kwamba wao ndio walipa kodi wakubwa, nadhani hivi sasa wamepigwa bao na watu wa betting!
 
Niliwahi beti mars 3 tu since nilikula mara moja nikapigwa mara 2 kimahesabu niliwala


Sijawahi rudia tena betting kimsingi sina mzuka nayo
 
Back
Top Bottom