Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Wanayanga hatukubaliani na hoja yenu ya kumng'oa kocha wenu mahili, kocha huyo ametuwezesha Simba na Yanga kufahamiana na kuwa karibu kama wana Dar wa Kariakoo.Hoja zimeenea leo kuhusu Benchika kutotakiwa, mimi pia naunga mkono kabisa kabisa, Benchika hana uwezo wa kuivusha Simba, Benchika amesababisha mwarabu Al Ahly avunje mwiko kwa mkapa, Benchika amepigwa nje ndani na mwarabu, Benchika amepoteza kombe la CRDB FA cup, Benchika amepigwa zote na Yanga.
Kibaya zaidi, upangaji wake wa kikosi ni hatari sana, yaan anawaweka Sadio, Saido, Ngoma na Babacar, halafu Micquisone akae benchi.
Yaan Micquisone anawekwa benchi bila sababu za msingi lkn akiingia unaona uwezo wake.
Baya zaidi angalien sub za Benchika, unaweza ona Kibu anashambulia wee na amewashika wapinzani lkn Benchika anamtoa.
"kanjibai" Lugha za kibaguzi hazikubaliki kwenye mpira, adhabu yake kali.Anayetakiwa kuondoka ni kanjibai
HATA UMLETE KOCHA KUTOKA SPAIN KWA WALE WACHEZAJI HUWEZI FIKA POPOTE SIMBA INA KIKOS KIBOVU KUWAHI KUTOKEAHoja zimeenea leo kuhusu Benchika kutotakiwa, mimi pia naunga mkono kabisa kabisa, Benchika hana uwezo wa kuivusha Simba, Benchika amesababisha mwarabu Al Ahly avunje mwiko kwa mkapa, Benchika amepigwa nje ndani na mwarabu, Benchika amepoteza kombe la CRDB FA cup, Benchika amepigwa zote na Yanga.
Kibaya zaidi, upangaji wake wa kikosi ni hatari sana, yaan anawaweka Sadio, Saido, Ngoma na Babacar, halafu Micquisone akae benchi.
Yaan Micquisone anawekwa benchi bila sababu za msingi lkn akiingia unaona uwezo wake.
Baya zaidi angalien sub za Benchika, unaweza ona Kibu anashambulia wee na amewashika wapinzani lkn Benchika anamtoa.
Kwa upande wangu Benchika bado ni kocha mzuri na Bora ila Hana wachezaji wenye ubora unaotakiwa wampe muda wamletee wachezaji wazuri watakao ipambania nembo ya Simba hao waliopo Sasa viwango vyao vimeporomoka ghafla hawajitumi.Hoja zimeenea leo kuhusu Benchika kutotakiwa, mimi pia naunga mkono kabisa kabisa, Benchika hana uwezo wa kuivusha Simba, Benchika amesababisha mwarabu Al Ahly avunje mwiko kwa mkapa, Benchika amepigwa nje ndani na mwarabu, Benchika amepoteza kombe la CRDB FA cup, Benchika amepigwa zote na Yanga.
Kibaya zaidi, upangaji wake wa kikosi ni hatari sana, yaan anawaweka Sadio, Saido, Ngoma na Babacar, halafu Micquisone akae benchi.
Yaan Micquisone anawekwa benchi bila sababu za msingi lkn akiingia unaona uwezo wake.
Baya zaidi angalien sub za Benchika, unaweza ona Kibu anashambulia wee na amewashika wapinzani lkn Benchika anamtoa.
Pale hata aje jose mourinho bado atonekana hafai. Simba hamna wachezaji wenye ubora kwa sasa. Amebaki chama tu labda na che malone ambao nao ubora wao haupnekani kwasababu wamezungukwa na matutusa. Sajilini wachezaji wa maanaHoja zimeenea leo kuhusu Benchika kutotakiwa, mimi pia naunga mkono kabisa kabisa, Benchika hana uwezo wa kuivusha Simba, Benchika amesababisha mwarabu Al Ahly avunje mwiko kwa mkapa, Benchika amepigwa nje ndani na mwarabu, Benchika amepoteza kombe la CRDB FA cup, Benchika amepigwa zote na Yanga.
Kibaya zaidi, upangaji wake wa kikosi ni hatari sana, yaan anawaweka Sadio, Saido, Ngoma na Babacar, halafu Micquisone akae benchi.
Yaan Micquisone anawekwa benchi bila sababu za msingi lkn akiingia unaona uwezo wake.
Baya zaidi angalien sub za Benchika, unaweza ona Kibu anashambulia wee na amewashika wapinzani lkn Benchika anamtoa.