Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Hoja zimeenea leo kuhusu Benchika kutotakiwa, mimi pia naunga mkono kabisa kabisa, Benchika hana uwezo wa kuivusha Simba, Benchika amesababisha mwarabu Al Ahly avunje mwiko kwa mkapa, Benchika amepigwa nje ndani na mwarabu, Benchika amepoteza kombe la CRDB FA cup, Benchika amepigwa zote na Yanga.
Kibaya zaidi, upangaji wake wa kikosi ni hatari sana, yaan anawaweka Sadio, Saido, Ngoma na Babacar, halafu Micquisone akae benchi.
Yaan Micquisone anawekwa benchi bila sababu za msingi lkn akiingia unaona uwezo wake.
Baya zaidi angalien sub za Benchika, unaweza ona Kibu anashambulia wee na amewashika wapinzani lkn Benchika anamtoa.
Kibaya zaidi, upangaji wake wa kikosi ni hatari sana, yaan anawaweka Sadio, Saido, Ngoma na Babacar, halafu Micquisone akae benchi.
Yaan Micquisone anawekwa benchi bila sababu za msingi lkn akiingia unaona uwezo wake.
Baya zaidi angalien sub za Benchika, unaweza ona Kibu anashambulia wee na amewashika wapinzani lkn Benchika anamtoa.