Kimalingano
JF-Expert Member
- Mar 27, 2023
- 709
- 919
Nimemsikiliza Mhe.Keissy, mbunge mstaafu, akihojiwa na kipindi cha One on One cha Wasafii Media ameleta hoja mpya kuwa Rais Samia kwa sasa kipindi cha miaka minne na nusu atakuwa anamalizia kipindi cha Magufuli.
Kwa hiyo yeye Samia anastahili vipindi viwili vya miaka kumi.
Pia amesema kuwa yeye aliposema Magufuli atake asitake ataongezewa muda wa urais hakumaanisha kuwa aongoze maisha yake yote. Alimaanisha aongezewe kipindi kimoja cha miaka 5 na kufanya aongoze miaka 15 pekee.
Naunga mkono hoja, Mama aongoze hadi 2035.
Pia soma > Ally Mohamed Keissy: Rais Samia agombee tena Urais ikifika mwaka 2030, hii miaka 4 ilikuwa ya Magufuli
Kwa hiyo yeye Samia anastahili vipindi viwili vya miaka kumi.
Pia amesema kuwa yeye aliposema Magufuli atake asitake ataongezewa muda wa urais hakumaanisha kuwa aongoze maisha yake yote. Alimaanisha aongezewe kipindi kimoja cha miaka 5 na kufanya aongoze miaka 15 pekee.
Naunga mkono hoja, Mama aongoze hadi 2035.
Pia soma > Ally Mohamed Keissy: Rais Samia agombee tena Urais ikifika mwaka 2030, hii miaka 4 ilikuwa ya Magufuli