Yimakatso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 7,060
- 9,468
Mkuu ni aibu sana kwa Taifa kuwa na waandishi wa habari wasio na uelewa wa masuala mtambuka kama katiba.Na hiyo miandishi ya habari haina uelewa ndiyo maana hayajambana na maswali ya maana! Yanamhoji kama mapumbavu tu!
Fikiria huyu ni mbunge aliyekaa bungeni kwa mihula miwili lakini hata katiba ya nchi tu haijui halafu utarajie aende kumwakilisha mwananchi ipasavyo kweli?