Mkuu ni aibu sana kwa Taifa kuwa na waandishi wa habari wasio na uelewa wa masuala mtambuka kama katiba.Na hiyo miandishi ya habari haina uelewa ndiyo maana hayajambana na maswali ya maana! Yanamhoji kama mapumbavu tu!
Ni kituko.Kessy kakaa bungeni miaka 10, lakini inaonekana hajawahi hata kuisoma katiba ya nchi.
“Mama nimekaa sana benchi naomba unikumbuke”Nimemsikiliza Mhe.Keissy, mbunge mstaafu, akihojiwa na kipindi cha One on One cha Wasafii Media ameleta hoja mpya kuwa Rais Samia kwa sasa kipindi cha miaka minne na nusu atakuwa anamalizia kipindi cha Magufuli.
Kwa hiyo yeye Samia anastahili vipindi viwili vya miaka kumi.
Pia amesema kuwa yeye aliposema Magufuli atake asitake ataongezewa muda wa urais hakumaanisha kuwa aongoze maisha yake yote. Alimaanisha aongezewe kipindi kimoja cha miaka 5 na kufanya aongoze miaka 15 pekee.
Naunga mkono hoja, Mama aongoze hadi 2035.
Pia soma > Ally Mohamed Keissy: Rais Samia agombee tena Urais ikifika mwaka 2030, hii miaka 4 ilikuwa ya Magufuli
Kwani hujui kuwa: Politics is the art of the possible- siasa ni kufanya yanayowezekana kwa wakati huo.Kama ndivyo hivyo, CCM imevunja katiba ya chama.. Kama ndivyo hivyo Samia asingepitishwa kiuni namna ile
Kwani Katiba ni msahafu.Tutaibadilisha iendane na tunachotaka.Duuh kwaio mbunge hajui katiba ya nchi inasemaje. Kazi kwelikwel labla wafanyie reform ya katiba