Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,414
- 2,181
Kuna watu mjadala ukiwa maadili yanavunjika wanawalaumu viongozi, na maadili yakinyooshwa wanawalaumu viongozi😃. Mara haki ya faragha, wengine hadi ushoga wameuweka kwa haki za binadamu.
Humu kuna anayependa dada yake ajiuzee? Kama jibu hapana, sasa tujadili kuwapa mitaji na pia tujadili kuwajenga kisaikolojia, lakini kuonesha anayewatoa kwenye madanguro kapora haki yao, hilo si sawa.
Tunajua madhambi yanafanyika, ila isiwe hadharani. Wale wako kando ya mashule, wanafunzi wanaulizana hawa wanafanya biashara gani? Wako Kando ya makazi ya watoto wanaokota kondomu.
Tutafakari.
====
Pia soma:
Kuna kesi ya udhalilishaji kama wale walioonekana kwenye video ya kukamata makahaba watapata mwanasheria mzuri
Vigezo gani anavitumia DC wa wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko kuvamia kumbi za starehe na nyumba za wageni kukamata watu anaodai ni makahaba?
Humu kuna anayependa dada yake ajiuzee? Kama jibu hapana, sasa tujadili kuwapa mitaji na pia tujadili kuwajenga kisaikolojia, lakini kuonesha anayewatoa kwenye madanguro kapora haki yao, hilo si sawa.
Tunajua madhambi yanafanyika, ila isiwe hadharani. Wale wako kando ya mashule, wanafunzi wanaulizana hawa wanafanya biashara gani? Wako Kando ya makazi ya watoto wanaokota kondomu.
Tutafakari.
====
Pia soma:
Kuna kesi ya udhalilishaji kama wale walioonekana kwenye video ya kukamata makahaba watapata mwanasheria mzuri
Vigezo gani anavitumia DC wa wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko kuvamia kumbi za starehe na nyumba za wageni kukamata watu anaodai ni makahaba?