Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika!

Uandishi wa paschal tulijifunza A level kuwa ni ironic
Hongera paschal kwa uandishi fikirishi.
Wakati tunasoma literatute Advance lijifunza uchaguzi wa maneno katika kuwasilisha ujumbe ile kitu wanaita "ironic " selection of word with positive mood to mean negative
 
Watuwekee zoo huyo aliyesukumiziwa Ikulu wamfungie humo ili asidhuru watu na wamfunge ndomo ili asiweze kutemea watu mate au kuwatusi na mdomo wake mchafu.


 
Kitu kimoja ninachoomba Mungu tu nisije kuwa rais wa Tanzania maana mtanikoma aisee hapa mjomba anawadekeza tu nahisi Nina vichembe chembe vya udikteta kwa kweli nitamshughulikia instantly kila anayeleta fyoko fyoko na kiherehere sikopeshi papo kwa hapo akuna cha mswalie mtume wa msali yesu kristu ni kibano tu heavy hadi akili iwake sawa hahahahah
 
Hahaha... Umenichekesha sana mkuu!
Mungu akulinde brother
 
Hata kama angetaka wakati wa Nyerere nchi ilikuwa mufilisi angejenga kwa kutumia nini? Labda maneno matamu kutoka kwinywani mwake.


 
mkuu paskali maumivu ya kuchelewa yote umeyasahau,vipi kuhusu zile taa wanaovukia punda bado zinafanya kazi,kweli mtu kwao!
 
Nadhani paskali baada ya yaliyokukuta pale ikulu,saSa umebuni mbinu mpya ya uandishi wa kukwepa kipimo cha mkojoo.

Umeamua kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupa.si haba
 
Issue sio kuwa kuna watu wanaishi huko Chato bali economic stability ya eneo husika, je kuna biashara gani ya kuufanya uwanja uwe productive, active wakati wote na sio dormant.


Naomba niambie justification ya kujenga barabara ya msata bagamoyo na kile kipande cha kuiunganisha na Morogoro road? Wakati kulikuwa na barabara ya dsm to chalinze na chalinze segera tena kile kipande cha chalinze mzee kikaongezwa upana ukawa kama uwanja wa mpira? Niambie gharama zilizo tumika kufanya hii kazi ukilinganisha na gharama za chato iapoti? Ukumbuke wakati huo hata madawati tu mashule ilikuwa ni issue ya sera ya kuombea kura kwenye kampeni za uchaguzi mkuu.
 
Umenitisha kidogo, viwanja vyote viwili vilijengwa na marais madikteta, mabuto kuku wa kubanga na Fascist Felix boingy!!!!????

Mfano dicteta Felix B aliamua kuhamisha mji Mkuu wa nchi na kuupeleka kijijini kwao, na kijiji chenyewe akakibadilisha jina na kukiita jina la mama yake Yamoussoukro!!!????? Ndio maana wazungu wana mashaka kama waafrika nao ni homo sapiens sapiens, wanahisi bado evolution iko kwe process.
 
Acha kuabudu wazungu nyumbu wewe usifananishe yaliyoko ulaya na afrika na maendeleo ya ulaya yako tayari lakini kwa afrika hado sana kwa tuna safari ndefu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…