Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika!

Kwa vijana wa siku hizi set up ya akili iko tumboni hawawezi kukuelewa! Hapa umegonga tena utosini.
 
Ni jambo zuri kuwa na uwanja wa ndege pale chato. Nchi jirani zaweza utumia, Kuna vivutio vya utalii na pia ndo mwanzo wa kuchangamsha akili ni nini wewe kama mtanzania unaweza fanya, kuchangamkia fursa zilizopo ipasavyo au za kutengeneza fursa mpya ili kunufaika na kukuza uchumi wa nchi yako.
Uwanja uliojengwa na Mobutu ulikufa kwasababu ya mapinduzi yaliyomtoa madarakani, hilo lazima mtambue sio kwa sababu hakukuwa na umuhimu wake. Upinzani walishindwa kuuendeleza moja yaweza kuwa hawakutaka kujishughulisha na aina yoyote ya sera zake pili rushwa, hali ya kiuchumi na visasi pia.
 
Kwa sisi tuliofoji vyeti , huu uzi kuung'amua ni ngumu sana, unaweza dhania unatusifia aisee!
 
Yaani baada ya 10 years uwanja wa chato utabaki magofu tu kama ule wa Mobutu Seseseko Kuku Ngendu Wazabanga
 
Huu uzi umenifanya nijue uelewa wa baadhi ya members wa JF

Hapa hivi sasa sio jukwaa la Great Thinkers peke yao bali pia great sinkers kibao.
 
ahahhaha nawazaga siku 'pjm' akikushika mkononi wewe Pascal Mayalla walah utajuta !nimesoma huku nacheka sana jaman !dah!nahakika hata wewe mwenyewe ukiwa unaandika huwa uancheka kwanza hahahahahahahha my ribs
 
Pascal naona umeungana na Askofu wa ZNZ kumwambia ukweli waziwazi kwamba jamaa yuko kama Mugabe na ikulu ikapongeza. keep it up.
 
Wakati nachangia kwa mara ya kwanza nilihisi Pascal kakosea na hii na baada ya kusoma aya mbili tatu tu nikaona upuuzi.. bt kwa alichoandika yafaa uchukue muda wako kuelewa.. nimeelewa sana.. pascal yuko sahihi..
 
Magufuli ni chaguo la Mungu. Na ni baraka kwa Tanzania. Tulistarehe mno, tunahitaji haya ili kuamsha akili zetu.

Mungu ibariki Tanzania
 
paskali sa zingine nashindwa kukusoma...
yaani heading tu imenikatisha kuendelea na mimi nii jibu hiyo heading tu kama isomekavyo.
hiviii.. tuna viwanja hapa bongo vikubwa tena vikuu ambavyo vinajulikana kimataifa mbona hao watalii unaotegemea watavutwa na kiwanja cha chato watatokea wapi???
wameshindwa kuitumia KIA na DIA nown as JKNIA leo useme ******** AIRPORT ndo italeta watalii?!!!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…