Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika!

very funny! katika watu wezi, wabinafsi, wenye wivu na ndumila kuwili...Magufuli ni baba lao. mkuu, unaonaje ukiomba kumfanyia interview Magufuli one on one? you know you're a journalist..na unaweza kuweka precedence ambayo waandishi wengine hawana tangia jamaa aingie madarakani@ Pascal Mayalla
 
Hahahaa Pasco you are so creative, kwa mtu mwenye mawenge hawezi kuona ujumbe uliomo hasa kwa wenzangu wa upande wa 'if you go slowly you can't cure the corruption disease', kwa uandishi wako I salute you.
Naunga Mkono hoja! Mkuu Pasco ana akili sana kwenye kujenga hoja zake na ubunifu wa kuukwepa mkono wa sheria pale inapobidi, kwa mtu wa kusoma mada zake bila tafakari hatoelewa na ataishia kumporomoshea mijitusi tu.
 
Kitu kilicho wazi na wazi kabisa, huyu hatatoka madarakani. Mobutu did all that shit knowing he is a president for life, hivyo anahitaji uwanja kwenda kwao inapohitajika na wakati mwingine wageni wa ndani na kimataifa kumkuta nyumbani ikibidi with ease of transport, which was justified, very justified kama atakuwa madarakani mpaka kifo! Huyu hatatoka madarakani! Huwezi kuwa unategemea kutoka madrakani miaka 10 tu ukafanya haya mabo ya matumizi ya fedha za serikali. Unfortunately enough watu wanamshangilia na wa tetemeko nshomile wahaya wanamshangilia! Nshomile kumbe bure. Pascal Mayalla
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pascal hayo madongo yako ni shida safi unamponda kwa code. Siku hiz kukuelewa inabid mtu atulie ndiyo ataelewa
 
Binafsi mimi siungi mkono hoja mwanza mwenyewe uwanja magumashi Kwa nn chato any way time Wil tell
 
Kuandika kwako kiujanja huchoki? Leo umechemka yaani umeonyesha huna hata fikra za kufikiria nje ya box... hata kufanya karisechi huwezi fikiria..unambeza tu..

Yaani na wewe ni kuwashwa washwa. nilitegemea utaongelea hata juu ya wananchi wa maeneo ya huko.. na jinsi watakavyofaidika katika mengi.. kuliko sasa wanavyotumia masaa mengi kufikia uwanja wa ndege wa karibu.

Leo umechemka na wewe umekuwa mdaku mwenye wivu ulivyombeza Mkulu tena.

Pole yako kumbe hauna maujuzi kabisa zaidi ya udaku.. ngoja nikuchekeeee ha ha haaaaa
 
Wengi waliotembea nchi za wenzetu hasa zilizoendelea, kuwa na ka Airport kama Chato sio mbaya, uwanja wa ndege sehemu yoyote ile ni muhimu hasa katika kukuza uchumi, labda iwe sababu kwanini Chato na sio Pemba au la, dola ijitahidi sehemu kama Chato ziwe na Airport..
Tatizo hapa ni sababu ndipo Rais wetu atokapo, zaidi ya hapo wengine tunaona poa tu..
 
Mkuu Paschal na wewe siku zingine sijui huwa unatumia kinywaji gani jioni? Mwanza kwenyewe hawana uwanja wa ndege, Mkulu akimaliza muda wake nani atakuwa anaenda Chattle?
Wakati mwingine tumia hata robo ya ubongo wako kujaribu kuelewa habari iliyoandikwa!
 
Mkuu Paschal na wewe siku zingine sijui huwa unatumia kinywaji gani jioni? Mwanza kwenyewe hawana uwanja wa ndege, Mkulu akimaliza muda wake nani atakuwa anaenda Chattle?
vijana hampendi kusoma na kuelewa ndio mana mnacomment kitotot hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…