Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika!

Alishindwa kujenga hospital kubwa uko hata iwe ya mkoa au kanda ya ziwa kabisa kwl nchi tumewapa washamba hii mahitaji ya wananchi wa chattle ni kuona ndege juu ya anga hahahaaa kanda ya ziwa mmetuangusha sana siyo kwa ushamba na ulimbukeni huu
 
Salute kwako mzee wa njaa. Hili bandiko kama umekunywa kihambule (pombe ya kienyeji kwa wahehe) huwezi kulielewa. Nazani hi ni njia nzuri ya kukwepa kupimwa mkojo awamu hii
 
Usitembelee akili za Magufuli tembelea akili zako, kwahiyo uwanja unajengwa ili uvutie viwanda.
 
Mkuu Paschal na wewe siku zingine sijui huwa unatumia kinywaji gani jioni? Mwanza kwenyewe hawana uwanja wa ndege, Mkulu akimaliza muda wake nani atakuwa anaenda Chattle?
Pascal Mayalla huwa ni vigumu kumuelewa kama hujasoma threads zake ukiwa umetulia

Hapo ameongea kwa kumsifu mkuu Ile ni kejeli.fulani

Je unaamini Nyerere,mwinyi,Mkapa kutojenga uwanja kwao ni makosa? Hapana si makosa hapa paskali anaileta kama thread ya kusifia kumbe ni ya kuibua hoja,

Pia kagusia kuhusu, swamp area na kaeleza kwamba hata kama ni swamp area hiyo si sababu pekee ya kuweza kusitisha ujenzi, wangeweza sababu nyingine,
 
Mkuu nimekunyooshea mikono umeeleza kwa fasihi kubwa mnoo mpaka nimeelewa sasa la Omukajunguti silisemi tena Pascal Mayalla
 
Mayalla tuonee huruma wenye IQ ndogo unatuchanganya sana. Maana hapa kama uelewa wako uko chini utatoka mweupe. Hii pasco nafikiri ni akili kubwa ila kuna wakati anajifanyisha hamnazo. Haya nimekuelewa. Ngoja mkuu aendelee kujenga utalii!!
 
Some times you speak point....
 
Hahahaa Pasco you are so creative, kwa mtu mwenye mawenge hawezi kuona ujumbe uliomo hasa kwa wenzangu wa upande wa 'if you go it slowly you can't cure the disease of corruption', kwa uandishi wako I salute you.
kweli kuna ujumbe mzito sana kwenye hili andiko..
 
Je kwa wazee wa majimaji (Ruvuma) ?! Mi nadhani walithubutu japo mjerumani hakuwa na mchezo mchezo
 
Ironically mayalla kakupa moyo...opps read between the lines pls.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…