Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika!

Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika!

Siku zote nayaheshimu mawazo yako na naheshimu kalamu yako Sana nikisoma tu na like.. Kwa hili hatuko pamoja.This is kind of genuine selfish na zambi yake itagharimu Taifa Kwa miaka mingi Sana .Kumbuka aina ya zambi hiyo alianza Samuel sitta kujenga ofisi ya Bunge kwao Kisa yeye spika.Mwisho wa Siku tutakua na maofisi Nchi nzima yasiyotumika Mungu tuepushe na laana hiyo ya umimi.Chato ilikuwa Bado kila jambo tuangalie economic impact
 
sijasoma content nzima. ila masahihisho kidogo. omukajunguti haiko bukoba. iko karagwe.
 
pascal uwe unawaonea huruma wanaojiita great thinkers lakini wana vichwa vya panzi wasioweza kusoma kati kati ya mistari.
 
Wanabodi,

Tangu kupatikana kwa taarifa ya kutelekezwa kujengwa kwa uwanja wa ndege wa Bukoba, eneo la Omukajunguti na badala yake sasa uwanja huo unajengwa Chato, kumetokea pingamizi kadhaa kupinga kujengwa kwa uwanja huo Chato kwa kutumia costs benefits index, hivyo mimi naunga mkono ujenzi wa uwanja huo wa ndege wa Chato, una Justification fulani!, mji wa Chato, baadae unaweza kuja kuwa mji wa Ggabolite, au Yamoussoukro, watalii watamiminika kula raha Chato na kushuhudia miundombinu ya kupendeza, hivyo naunga mkono uwanja wa ndege wa maana ujengwe tuu Chato.

Justification why not Omukajunguti
Imetolewa justification kwa nini uwanja wa ndege wa Bukoba, haujengi tena eneo la Omukajunguti kwa maelezo kuwa eneo hilo ni swamp area!. Excuse hii ni very lame excuse, kama watu wanaweza kujenga hadi baharini kwa land reclamation, what is swamp area kama mjenzi anajua anachokifanya ikiwemo kufanya elevation na kuweka vizuri water flows?!. Watu waende Holland wakaone nchi iko under sea level, watu wamefanya land reclamation na wamejenga. Kinachotakiwa ni kujenga good water flows tuu, hivyo argument ya swamp area doesn't hold water!. Ile hoja ya kuogopa kulipa fidia wageni wengi, ni childish, assence ya fidia sio land bali ni development done on that land. Kama kuna mgeni mmemuacha hadi amejenga, then anastahili fidia. Hivyo hoja ya fidia nayo ni hoja tuu ya nguvu lakini haina nguvu ya hoja.

Justification Why Chato International Airport
Japo sijabahatika kuzisikia hoja kwa nini ni Chato International Airport, lakini mimi nimebahatika kufika Chato ile ya jamaa yangu fulani akiwa waziri, ndio alikuwa akimiliki the best hotel in town ya Chato ile. Kuna wakati nilikuwa na assignment ya mwezi mzima Biharamulo, lakini niliishi Chato, nikapanga kwenye hiyo the best hotel in Chato, ni hotel ya vijumba jumba vya detached suites.

Kama Akiwa Waziri Tuu Alishusha The Best in Chato, Sasa Hivi Alivyo, Atashusha nini?.
Nimeteremka tena Chato ya sasa, na kiukweli Chato inabadilika kwa speed ya umeme, au speed ya ajabu, vitu vinaota kama uyoga!, na kuna kitu moja kimeshuka kwa kupanda juu kama mbingu!, hii kitu ni kitu ya ukweli, sii mchezo!. Sakafu tuu ni marble na granite, sofa za rooms ni pure leather!, hadi Free WiFi ya 4G mjini Chato!, kwa mambo kama haya na kwa mwendo kama huu wajameni, uwanja wa kimataifa Chato ni halali na unastahili!. Kama haya tunayoyaona ni ya hii miaka mawili tuu, then kufikia miaka 10, Chato itakuwaje?. Mimi naamini Chato itakuwa an international city kama Ggabolite ya Mabotu Sesse Seko au Yamasoukro ya, Félix Houphouët-Boigny.

Utalii Sio Natural God Given Only, Hata Man Made.
Wengi wanadhani vivutio vya utalii ni lazima viwe natural God given only, kama mbuga za wanyama, milima, mito na mabonde tuu, sii wengi wanajua kuwa tourism attractions zinaweza kuwa man kama mambo ya kale, au made kwa kujenga miundombinu ya kufa mtu ya kuvutia watalii, kuna mji wa Sun City South Africa, au kuna mamia ya watalii wanamiminika kushuhudia a Catholic minor basilica dedicated to Our Lady of Peace in Yamoussoukro, the administrative capital of Côte d'Ivoire (Ivory Coast). Disney Land ni manmade, kuna watu wanakwenda Egypt kushuhudia Pyramids, watu wanakwenda Paris just to see ile Eiffel Tower. Watu wanakwenda London kuona the London Bridge, Italy kuona the Lening Tower of Pisa, watu wanakwenda Iraq kuangalia the Hanging Garden of Babylon, etc etc, nasi tuta create kitu, watalii wanamiminika tuu Chato. Mfano tukijenga zoo na kuwaweka the big five, tumemaliza.

Kwa Nini Wanabeza Chato?.
Hivyo kuna wengi wanabeza uwanja wa Chato. kwa kijicho tuu cha wivu, wana moyo wa kwanini na sio wivu wa maendeleo, the real and true charity, begins at home, mimi naunga mkono 100% kwa 100%, kama umejaaliwa uwezo, anza kwanza kujenga kwako, ndipo ukajenge na kwa wengine!. Pia kuna uwezekano hata huu uwanja wa Chato, wanao beza ni wasiojua kutazama mbali, kwa sisi tuliofika Chato, na kuona vitu vinavyopanda, na hii ni miaka miwili tuu, then amini usiamini, baada ya miaka 10, watu watakuwa wanamiminika Chato, kuliko Mikumi!.

Naunga Mkono Uwanja wa Chato, Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete, Walifanya Makosa?.

Hivyo naunga mkono ujenzi wa uwanja wa Chato. Kiukweli Nyerere alifanya makosa kuhusu Butiama, Mwinyi akafanya makosa kuhusu kwao, Mkapa alifanya makosa kuhusu kwao, Kikwete amefanya makosa Msoga, Magufuli asifanye kabisa makosa Chato, miundombinu ya kuifikia Chato ikikamilika, kitu cha kuitumia miundombinu hiyo kitaibuka.

Chato oye!.
Mungu ibariki Tanzania.
Jumapili Njema.
Paskali
cc. britanicca

Ggabolite ya Mabotu Sesse Seko au Yamasoukro ya, Félix Houphouët-Boigny....mbona humalizii mkuu, Chato ya JPM...!
 
Wanabodi,

Tangu kupatikana kwa taarifa ya kutelekezwa kujengwa kwa uwanja wa ndege wa Bukoba, eneo la Omukajunguti na badala yake sasa uwanja huo unajengwa Chato, kumetokea pingamizi kadhaa kupinga kujengwa kwa uwanja huo Chato kwa kutumia costs benefits index, hivyo mimi naunga mkono ujenzi wa uwanja huo wa ndege wa Chato, una Justification fulani!, mji wa Chato, baadae unaweza kuja kuwa mji wa Ggabolite, au Yamoussoukro, watalii watamiminika kula raha Chato na kushuhudia miundombinu ya kupendeza, hivyo naunga mkono uwanja wa ndege wa maana ujengwe tuu Chato.

Justification why not Omukajunguti
Imetolewa justification kwa nini uwanja wa ndege wa Bukoba, haujengi tena eneo la Omukajunguti kwa maelezo kuwa eneo hilo ni swamp area!. Excuse hii ni very lame excuse, kama watu wanaweza kujenga hadi baharini kwa land reclamation, what is swamp area kama mjenzi anajua anachokifanya ikiwemo kufanya elevation na kuweka vizuri water flows?!. Watu waende Holland wakaone nchi iko under sea level, watu wamefanya land reclamation na wamejenga. Kinachotakiwa ni kujenga good water flows tuu, hivyo argument ya swamp area doesn't hold water!. Ile hoja ya kuogopa kulipa fidia wageni wengi, ni childish, assence ya fidia sio land bali ni development done on that land. Kama kuna mgeni mmemuacha hadi amejenga, then anastahili fidia. Hivyo hoja ya fidia nayo ni hoja tuu ya nguvu lakini haina nguvu ya hoja.

Justification Why Chato International Airport
Japo sijabahatika kuzisikia hoja kwa nini ni Chato International Airport, lakini mimi nimebahatika kufika Chato ile ya jamaa yangu fulani akiwa waziri, ndio alikuwa akimiliki the best hotel in town ya Chato ile. Kuna wakati nilikuwa na assignment ya mwezi mzima Biharamulo, lakini niliishi Chato, nikapanga kwenye hiyo the best hotel in Chato, ni hotel ya vijumba jumba vya detached suites.

Kama Akiwa Waziri Tuu Alishusha The Best in Chato, Sasa Hivi Alivyo, Atashusha nini?.
Nimeteremka tena Chato ya sasa, na kiukweli Chato inabadilika kwa speed ya umeme, au speed ya ajabu, vitu vinaota kama uyoga!, na kuna kitu moja kimeshuka kwa kupanda juu kama mbingu!, hii kitu ni kitu ya ukweli, sii mchezo!. Sakafu tuu ni marble na granite, sofa za rooms ni pure leather!, hadi Free WiFi ya 4G mjini Chato!, kwa mambo kama haya na kwa mwendo kama huu wajameni, uwanja wa kimataifa Chato ni halali na unastahili!. Kama haya tunayoyaona ni ya hii miaka mawili tuu, then kufikia miaka 10, Chato itakuwaje?. Mimi naamini Chato itakuwa an international city kama Ggabolite ya Mabotu Sesse Seko au Yamasoukro ya, Félix Houphouët-Boigny.

Utalii Sio Natural God Given Only, Hata Man Made.
Wengi wanadhani vivutio vya utalii ni lazima viwe natural God given only, kama mbuga za wanyama, milima, mito na mabonde tuu, sii wengi wanajua kuwa tourism attractions zinaweza kuwa man kama mambo ya kale, au made kwa kujenga miundombinu ya kufa mtu ya kuvutia watalii, kuna mji wa Sun City South Africa, au kuna mamia ya watalii wanamiminika kushuhudia a Catholic minor basilica dedicated to Our Lady of Peace in Yamoussoukro, the administrative capital of Côte d'Ivoire (Ivory Coast). Disney Land ni manmade, kuna watu wanakwenda Egypt kushuhudia Pyramids, watu wanakwenda Paris just to see ile Eiffel Tower. Watu wanakwenda London kuona the London Bridge, Italy kuona the Lening Tower of Pisa, watu wanakwenda Iraq kuangalia the Hanging Garden of Babylon, etc etc, nasi tuta create kitu, watalii wanamiminika tuu Chato. Mfano tukijenga zoo na kuwaweka the big five, tumemaliza.

Kwa Nini Wanabeza Chato?.
Hivyo kuna wengi wanabeza uwanja wa Chato. kwa kijicho tuu cha wivu, wana moyo wa kwanini na sio wivu wa maendeleo, the real and true charity, begins at home, mimi naunga mkono 100% kwa 100%, kama umejaaliwa uwezo, anza kwanza kujenga kwako, ndipo ukajenge na kwa wengine!. Pia kuna uwezekano hata huu uwanja wa Chato, wanao beza ni wasiojua kutazama mbali, kwa sisi tuliofika Chato, na kuona vitu vinavyopanda, na hii ni miaka miwili tuu, then amini usiamini, baada ya miaka 10, watu watakuwa wanamiminika Chato, kuliko Mikumi!.

Naunga Mkono Uwanja wa Chato, Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete, Walifanya Makosa?.

Hivyo naunga mkono ujenzi wa uwanja wa Chato. Kiukweli Nyerere alifanya makosa kuhusu Butiama, Mwinyi akafanya makosa kuhusu kwao, Mkapa alifanya makosa kuhusu kwao, Kikwete amefanya makosa Msoga, Magufuli asifanye kabisa makosa Chato, miundombinu ya kuifikia Chato ikikamilika, kitu cha kuitumia miundombinu hiyo kitaibuka.

Chato oye!.
Mungu ibariki Tanzania.
Jumapili Njema.
Paskali
cc. britanicca

Mkuu Pascal Mayalla hongera kwa hili bandiko ijapo ni la muda mrefu.
Hivi Mkuu Pascal Mayalla hili bandiko uliliandika ukiwa na furaha sana au hasira sana? Mkuu Pascal Mayalla kwavile bado naendelea kusoma mabandiko yako hapa JF, basi nina sababu ya kusema "Bwana asifiwe", "Tumsifu Yesu Kristo" au " Emmanuel".

Ahsante
 
Nchi ina hali mbaya sana! Hatutakiwi tuishi hivi, kwa nini tunafika huku, hadi mtu ashindwe kuongea mawazo yake kwa uhuru!?
 
Ugawaji wa Tausi huu Ugawaji wa Tausi, kabla ya Raisi Hajagawa tausi kwa wastaafu, kuna hotel inaitwa JS imeshapatiwa hao Tausi kitambo,

Ni mmiliki nani na nani hasa aliruhusu wato Ikulu?

Britannica
Mkuu Britanicca, acha uchokozi na uchochezi, tausi ni ndege tuu kama ndege wengine wote na wanapatikana mahali pengi.

Kwa bandiko hili, ikiamuliwa kufunguliwa kesi ya uchochezi, jee utaweza kuthibitisha kuwa hao tausi wa JS Hotel pale Chato ni tausi kutoka Ikulu yetu?, unamaanisha kuna mwizi kaingia Ikulu yetu, akawaiba wale tausi wa Nyerere pale Ikulu ambao ni nyara za taifa, akawapeleka huko JS hotel?.
Au anamaanisha miongoni mwa watu wenye access na Ikulu yetu, kuna mtu ni mwizi kaiba tausi wetu ambao ni nyara za serikali, na kuwauza kwa JS hotel ya Chato?.

This is criminal liability, hivyo kama kuna tausi wa nyara za serikali pale JS Hotel, Chato, na police wetu wanasoma JF, waanzishe uchunguzi hapo JS kuchunguza yafuatayo
  1. Jee ni kweli JS hotel ya Chato kuna tausi?.
  2. Waliwapata wapi hao tausi?
  3. Wana vibali vya kumiliki nyara za serikali?
  4. Kama ni tausi kutoka Ikulu yetu, nani aliruhusu nyara hizo za serikali kuchukuliwa na kupelekwa hotel binafsi?.
  5. Kama ni kweli tausi hao wa JS hotel ni kutoka Ikulu yetu, then huu nao ni ufisadi tuu kama ufisadi mwingine wowote!.
NB. Angalizo: Kufuatia proximity ya JS hotel kuwa karibu na Ikulu ya Chato, na the dividing line between JS hotel na Ikulu ya Chato ni very thin, na usikute tausi ambao Mkuu Britanicca amewaona hapo JS Hotel, akadhani ni tausi wa JS hotel , kumbe aliona kwa makengeza, due to parallax effects bila kuuona mpaka, tausi hao sio tausi wa JS Hotel bali ni tausi wa Ikulu ya Chato wakiranda randa hapo mitaa ya JS Hotel kama wale Tausi wa Ikulu ya Magogoni wanavyo randa randa maeneo mengi, and this being the case, hakuna kesi wala hakuna issue yoyote.
P
 
Mkuu Britanicca, acha uchokozi na uchochezi, tausi ni ndege tuu kama ndege wengine wote na wanapatikana mahali pengi.

Kwa bandiko hili, ikiamuliwa kufunguliwa kesi ya uchochezi, jee utaweza kuthibitisha kuwa hao tausi wa JS Hotel pale Chato ni tausi kutoka Ikulu yetu?, unamaanisha kuna mwizi kaingia Ikulu yetu, akawaiba wale tausi wa Nyerere pale Ikulu ambao ni nyara za taifa, akawapeleka huko JS hotel?.
Au anamaanisha miongoni mwa watu wenye access na Ikulu yetu, kuna mtu ni mwizi kaiba tausi wetu ambao ni nyara za serikali, na kuwauza kwa JS hotel ya Chato?.

This is criminal liability, hivyo kama kuna tausi wa nyara za serikali pale JS Hotel, Chato, na police wetu wanasoma JF, waanzishe uchunguzi hapo JS kuchunguza yafuatayo
  1. Jee ni kweli JS hotel ya Chato kuna tausi?.
  2. Waliwapata wapi hao tausi?
  3. Wana vibali vya kumiliki nyara za serikali?
  4. Kama ni tausi kutoka Ikulu yetu, nani aliruhusu nyara hizo za serikali kuchukuliwa na kupelekwa hotel binafsi?.
  5. Kama ni kweli tausi hao wa JS hotel ni kutoka Ikulu yetu, then huu nao ni ufisadi tuu kama ufisadi mwingine wowote!.
NB. Angalizo: Kufuatia JS hotel kuwa karibu na Ikulu ya Chato, usikute tausi ambao Mkuu Britanicca amewaona ni tausi wa Ikulu ya Chato wakiranda randa mitaani kama wale Tausi wa Ikulu ya Magogoni wanavyo randa randa maeneo mengi, and this being the case, hakuna kesi wala hakuna issue!
P
Kuna kitu najifunza kutoka kwa nguli Pascal....naamini.....historia inauwezo mkubwa wa kua upande wako...Kama nnachoamini ndo historia inachotaka.....Mungu ibariki Tanzania
 
Back
Top Bottom