Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Yanga inabadilishiwa mfumo wa umiliki na uendeshwaji tu sio kuuzwa au kukodishwa . Mfumo uliopo ni wanachama kupitia uongozi waliouchagua kuimiliki na kuiendesha klabu kwa asilimia 100.
Sasa inakwenda kumilikiwa na mtu mmoja kwa asilimia 75 na 25 zikibaki kwa wanachama .
Mkataba husika kuendeshwa kwa miaka 10 ni sawa na ubinafsishwaji wa sehemu ya umiliki ili klabu ijiendeshe kwa faida kama yalivyofanyiwa mashirika ya Umma mwanzoni mwa miaka ya 90.
Kilichopo ni kuhakikisha " Brand " ya klabu inakua kwa haraka na faida kwa mwekezaji husika na klabu.
Miaka 81 hakuna la maana hata Azam FC yenye miaka 8 chini ya mtu mmoja inajeuri ya kuongea sasa tuache hii miaka 10 tuone nini kitafanyika .
Watu wanasema atapata faida kubwa sana na sisi kuendelea kubaki masikini . Kwa miaka 10 ametoa pesa sh ngapi ambazo hazijampa faida yoyote zaidi ya umaarufu?!
Tulipofikia hata kumuuzia ingewezekana poa tu maana walibaki wachache wananufaika timu inazidi kuwa masikini bila maendeleo yoyote.
Sasa inakwenda kumilikiwa na mtu mmoja kwa asilimia 75 na 25 zikibaki kwa wanachama .
Mkataba husika kuendeshwa kwa miaka 10 ni sawa na ubinafsishwaji wa sehemu ya umiliki ili klabu ijiendeshe kwa faida kama yalivyofanyiwa mashirika ya Umma mwanzoni mwa miaka ya 90.
Kilichopo ni kuhakikisha " Brand " ya klabu inakua kwa haraka na faida kwa mwekezaji husika na klabu.
Miaka 81 hakuna la maana hata Azam FC yenye miaka 8 chini ya mtu mmoja inajeuri ya kuongea sasa tuache hii miaka 10 tuone nini kitafanyika .
Watu wanasema atapata faida kubwa sana na sisi kuendelea kubaki masikini . Kwa miaka 10 ametoa pesa sh ngapi ambazo hazijampa faida yoyote zaidi ya umaarufu?!
Tulipofikia hata kumuuzia ingewezekana poa tu maana walibaki wachache wananufaika timu inazidi kuwa masikini bila maendeleo yoyote.