Naungana na makamu wa rais kukemea hili, baadhi ya viongozi wa dini hawafahamu wajibu wao!

Naungana na makamu wa rais kukemea hili, baadhi ya viongozi wa dini hawafahamu wajibu wao!

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Labda pengine wengi wa viongozi wa dini ni makanjanja, nikimaanisha hawafahamu na hawako kiwito wa kiutumishi hasa wa kusimamia wana kondoo kwa usawa, hekima, kwa jinsi NENO, lisemavyo, watumishi hao baadhi wameonyesha kujiingiza moja kwa moja kwenye baadhi ya vyama vya kisiasa as if ni watendaji wa vyama hivyo, huku wakisahau dhima nzima na wajibu wao wa kiutumishi kwa umma, hasa kuwarejesha wana kondoo wale wapoteao na kuwaombea, kuwapa kitubio ili wamrudie muumba, wapate salama yao ya sasa mpaka akhera, #Tujisahihishe.
IMG_20240929_051428_227.jpg
 
Kuna simu 2 kubwa Afrika:Watumishi. Feki wa Kidini na Dini ya Mpira wa Miguu.Haoa TZ haya majanga 2 yakaisha tumepona.
 
Mshamba wewe nahuyo
Labda pengine wengi wa viongozi wa dini ni makanjanja, nikimaanisha hawafahamu na hawako kiwito wa kiutumishi hasa wa kusimamia wana kondoo kwa usawa, hekima, kwa jinsi NENO, lisemavyo, watumishi hao baadhi wameonyesha kujiingiza moja kwa moja kwenye baadhi ya vyama vya kisiasa as if ni watendaji wa vyama hivyo, huku wakisahau dhima nzima na wajibu wao wa kiutumishi kwa umma, hasa kuwarejesha wana kondoo wale wapoteao na kuwaombea, kuwapa kitubio ili wamrudie muumba, wapate salama yao ya sasa mpaka akhera, #Tujisahihishe. View attachment 3109894
Wewe na huyo Kiongo z wako wote washamba tuu mbona mufuti mukulu alipinga watu wasiandamane kudai mauaji yachunguzwe na mkamsifu??

Kiongozi wa dini akiwasifu ni sawa ila akiwakosoa inakuwa anaingilia siasa na hajui kaziyao eeh!
Kiukweli ujinga ni mzigo mzito kuliko tani la misumari...
 
Huyu mzee sijawahi kuona jambo la maana anaongea hata siku moja, wakisifia wanakuwa watumishi wa MUNGU wakikosoa wanakuwa wanasiasa, vyeo vingine vifutwe ni gharama kubwa kwa walipa kodi na havina faida yoyote
 
Back
Top Bottom