2 of Amerikaz most wanted
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 1,328
- 3,718
It is, big timeAwe white, black or yellow does it make a difference?
Hiko ndio kikubwa kuwa alikuwa kwa jinsi ya Mwili.AWE MWEUSI AU MWEUPE SISI TUNACHOJALI KAMA ALIKUWA NI MWANADAM TU HAYO YA RANGI SIO ISHU SANA View attachment 2944480
Awe white, black or yellow does it make a difference?
Bikra Mariam myahudi na Mungu wakazaa mtu nweusi?Mungu sio mbaguzi kiasi icho haiwezekani mitume na manabii wote mungu alio watuma wawe rangi nyeupe hizo ni fix.
Mungu alimtuma yesu kama kiwakilishi kwa watu weusi kwamba hatuja hachwa nyuma tukapewa mwakilishi wetu.
Kwanini wapindishe ukweli huu mchungu lengo na madhumuni yao ni nini?
Sipo hapa kukashifu wala kudhihaki Dini wala mtume wa mungu bali ni mtazamo wangu katika kuunga mkono ushahidi wa kisanduku cha kale cha mjomba PUTIN.
Ndio maana nchi nyingi zinampinga na kumtolea macho.
PUTIN OPENED AN ACIENT BOX REVELING THAT JESUS WAS BLACK.
View attachment 2944471View attachment 2944473View attachment 2944474
Kwani utapata hasara gani?Sasa kwa mfano Dunia nzima mpaka wazungu wenyewe na Papa na Kila mkristo na asiye Mkristo wakakubaliana kwamba Yesu alikuwa mweusi tutapata faida gani?
Ndio unataka kutuhadaa kwamba Mabara mengine ni matajiri, hawana maradhi na ujinga na Umasikini?Je Afrika ndiyo itakuwa Tajiri na kutokana na Maradhi Ujinga na Umaskini?
Ndyo itamaliza Ufisadi?
Umewaza kama nilivyowazaJamaa anatafuta uungwaji mkono na waafrika sasa kafikitia ni gia gani ya kuwakamatia
Kapiga hesabu kaona waafrika wako attached sana na dini na ndio kitu ambacho wako emotionally nacho.
Jamaa akasema yes hapa hapa then poof! "Yesu alikuwa ni mweusi".