Phone4Sale Naunza simu yangu aina ya Samsung Galaxy 04e

Phone4Sale Naunza simu yangu aina ya Samsung Galaxy 04e

Andazi

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2022
Posts
1,113
Reaction score
2,234
Ndio simu ambayo natumia kulogin huku na kupost huko na huko ina 64GB ndani na 3GB of ram android 14 na Oneui 6.1

Ni yangu 100% na utakapo inunua palepale ndio nitatoa Samsung Account as proof ya kuwa mmiliki wake

Ninashida na 180k tu

Ipo good condition na nimeitumie for long time, nitaweka picha
Napatikana Dar kinondoni

Njoo PM

IMG-20241009-WA0003.jpg
IMG-20241009-WA0002.jpg
 
Ndio simu ambayo natumia kulogin huku na kupost huko na huko ina 64GB ndani na 3GB of ram android 16 na Oneui 6.1

Ni yangu 100% na utakapo inunua palepale ndio nitatoa Samsung Account as proof ya kuwa mmiliki wake

Ninashida na 180k tu

Ipo good condition na nimeitumie for long time, nitaweka picha
Napatikana Dar kinondoni

Njoo PM

View attachment 3119561View attachment 3119562
Nje ya mada kidogo , naona jamaa amekula vance moja qali, halafu juu katupia kilokole siku nyengine mwambie avae angalau cadet au jinsi mkuu na iwe don't torch anatuaibisha vance enthusiasts .
 
Back
Top Bottom