Nauona ushindi wa Taifa Stars hapo kesho lakini Kamati ya Ushindi ina ukakasi. Kesho tunaandika historia mpya!

Tulizembea kwenye mech ya kufuzu huko kwa king mswati ko kipigo kinatuhusu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tufungwe tuuuuuuu
Ikishinda sifa zitapelekwa kwa JIWE
 
Nyi mmepotoshwa na kina Bashite sio kama kesho Tanzania ikishinda ndio imefuzu hiyo nafasi moja inagombaniwa na
LESOTHO
CAP VARDE
TANZANIA
Ili Tanzania ifuzu inabidi tumfunge Uganda na Cap varde amfunge Lesotho sasa huyo Mungu wetu peke yetu
Mechi yetu ya kufuzu ni ile ya mwisho tulio ipoteza laki hapa tunadanganyana tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaliyopita si ndwele, tuungane kuiombea timu yetu ishinde na kufuzu ingawa yule kocha ni kweli ana maamuzi ya hovyo hovyo yasiyotabirika.
 
Wao wanachofahamu kuwa Taifa star ikishinda watauziwa balimi kwa sh.500/=

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm nilishasema hii nchi ina wajinga wengi mno ndo maana ipo hivi ilivyo. Mpira hauhitaji maombi..hata huyo Mungu(kama yupo) atakuwa wa ajabu,yaani aache kushughulika na wagonjwa na wenye uhitaji ashughulikie burudani!??

Halafu watu ni wajinga kwelikweli,hata akili za kawaida tu mnakosa,huyo Mungu si atakuwa kibarua wenu!?? Yaani mumuombe awasaidie muifunge Uganda,halafu wakati huohuo muombe Lesotho afungwe au atoe sare. Huyo Mungu si bora ahamie Tanzania tu...!! Mpira unachezwa hadharani bhaana,hakuna cha maombi hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…