Nauona ushindi wa Taifa Stars hapo kesho lakini Kamati ya Ushindi ina ukakasi. Kesho tunaandika historia mpya!

Kesho hata 10M mpe Stars, ukishindwa kajiue aisee
 
Nshamuambia huyu mwanasheria kanjanja aache kumuhusisha Mungu na upuuzi

Watu wanaozungumza mambo wasiyoyajua kimbilio lao la kwanza huwa ni kujificha kwa Mungu.
 
Motisha ya bia only in tanzania
 
Nshamuambia huyu mwanasheria kanjanja aache kumuhusisha Mungu na upuuzi

Watu wanaozungumza mambo wasiyoyajua kimbilio lao la kwanza huwa ni kujificha kwa Mungu.
Mkuu,naomba uniheshimu kama ninavyokuheshimu. Ungeweza kujadili mada bila kutweza tasnia au kazi yangu. Tumia hekima kuliko jazba na chuki
 
Hakuna nilipomhusisha Mungu na upuuzi kama unavyodai.
"Mungu wetu ni mwema sana. Ameiongoza na kuilinda timu yetu ya Taifa ya soka (Taifa Stars) hadi ilipofikia. Ameipa alama ilizonazo sasa na kesho anaipa nafasi na baraka za kufuzu kwa michuano ya Mataifa ya Afrika. Kesho ni siku yetu."


Unaweza thibitisha hayo maneno yako?
 
Je una sababu za kiufundi za kwanini leo tutashinda kwa kishindo dhidi ya Uganda!?

Kwenye eneo la saikolojia unahisi tuko sawa?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msisahau tu kuwa hakuna project aliyogusa bashite ikafanikiwa.Kesho kipigo tu.tukijitahidi sana basi itakuwa sare tu.
Nasikiaga bwana yule kwenye kamati ana Waganga km Laki tatu hivi nadhani ndo maana wanajiamini watashinda na Lesotho atafungwa ili tufuzu na bia ziwe nusu bei japo hapo kwenye nusu Bei Nani atafidia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi huwa sina imani sana na Taifa stars, na huyu Amunike ndo simuelewi kabisa. Bado nafkiria mara mbili mbili kuhusu kwenda taifa leo

the Legend☆
 
Binafsi huwa sina imani sana na Taifa stars, na huyu Amunike ndo simuelewi kabisa. Bado nafkiria mara mbili mbili kuhusu kwenda taifa leo

the Legend☆
C'mooon twenzetu...! Mimi leo naenda kushuhudia historia. Leo tunashinda na amunike hawezi kuchezea shillingi chooni tutashuka hata jukwaani kumnasa makofi akipanga mambugila.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Staz 2
Cranes 1

tukija kule cape Verde 1
Lesotho 0
au inaweza kuwa draw
Mwisho wa Kundi
Cranes na Staz watakuwa wamefuzu.

mwisho kabisa
Tz
Ug
Kny
Burund
zitakuwa zimeungana kwenda kushiriki


Sababu za Staz kushinda Ni sababu za ki Diplomasia
lakini sababu za ufundi HAKUNA NA HAWAWEZI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
C'mooon twenzetu...! Mimi leo naenda kushuhudia historia. Leo tunashinda na amunike hawezi kuchezea shillingi chooni tutashuka hata jukwaani kumnasa makofi akipanga mambugila.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna game ambayo iliniuma kama tuliyocheza na Lesotho Taifa, nlijuta kwenda uwanjani. Nshazoea burudani kwenye game za Simba, inauma sana kwenda uwanjani afu kurudi nyumbani kinyonge. Mungu atusaidie mambo yawe tofauti leo, na wakati huo huo tukimuombea Cape Verde awe na mchezo mzuri

the Legend☆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…