Naupongeza uongozi wa Simba kuchukulia chanya maoni ya Chasambi

Naupongeza uongozi wa Simba kuchukulia chanya maoni ya Chasambi

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Radack Chasambi alionekana kutoa maoni yake juu ya mchezaji kioo kwenye ligi, Yeye Kwa mtazamo wake aliamua kumtaja Maxi Nzengeli kuwa ni mchezaji anayemvumtia na ana mtazama kama kioo na kufata nyendo zake

Baada zilizo hoja kutoka Kwa wachambuzi na baadhi ya members humu Jamii forums wakiongozwa na Mwasibu fake

Uongozi wa Simba wameonyesha professional Kwa kumtia moyo kijana na Leo amesafiri na timu kwenda Tunisia,

Naupongeza uongozi na bench la ufundi la Simba Kwa kusimamia professional yao

Mpira ni mchezo wa kiungwana sio uadui, uadui wa mpira ni dakika 90 uwanjani, mchezo ukiisha laZima maisha yarejee kama kawaida

Mchezaji kutoa maoni yake juu ya mchezaji anayemkubali siyo dhambi,
Ganancho ni Muargentina na anacheza timu Moja na Mesi lakini yeye aliweka wazi kuvutiwa na Ronaldo.
Mpabbe akiwa PSG aliweka wazi kuwa role model wake ni Ronaldo
Rooney na Rio wamecheza na Ronaldo ila Huwa wanamsifia Mesi
 
Chasambi kaambiwa kila siku akiamka ambandikie chai MVP Ahoua na afue soksi za Fernandez. Adhabu hii ni ya mwezi mmoja.
 
IMG_20241231_164052_104.jpg
 
Radack Chasambi alionekana kutoa maoni yake juu ya mchezaji kioo kwenye ligi, Yeye Kwa mtazamo wake aliamua kumtaja Maxi Nzengeli kuwa ni mchezaji anayemvumtia na ana mtazama kama kioo na kufata nyendo zake

Baada zilizo hoja kutoka Kwa wachambuzi na baadhi ya members humu Jamii forums wakiongozwa na Mwasibu fake

Uongozi wa Simba wameonyesha professional Kwa kumtia moyo kijana na Leo amesafiri na timu kwenda Tunisia,

Naupongeza uongozi na bench la ufundi la Simba Kwa kusimamia professional yao

Mpira ni mchezo wa kiungwana sio uadui, uadui wa mpira ni dakika 90 uwanjani, mchezo ukiisha laZima maisha yarejee kama kawaida

Mchezaji kutoa maoni yake juu ya mchezaji anayemkubali siyo dhambi,
Ganancho ni Muargentina na anacheza timu Moja na Mesi lakini yeye aliweka wazi kuvutiwa na Ronaldo.
Mpabbe akiwa PSG aliweka wazi kuwa role model wake ni Ronaldo
Rooney na Rio wamecheza na Ronaldo ila Huwa wanamsifia Mesi
Je umewahi kumsikia Messi LAPulga akimsifia CR7?
 
Back
Top Bottom