Ghost JF-Expert Member Joined Apr 20, 2010 Posts 428 Reaction score 53 Mar 14, 2012 #21 popiexo said: Ukumbuke pale pembeni kuna ofisi ya chama ambayo imejengwa kwa msaada wa huyu jamaa wa Naura, na ujenzi ulienda sambamba. Click to expand... Wambugani said: Sio rahisi ikabomolewa kwani mwenye hoteli alijenga Ofisi ya CCM pale Sanawari. Click to expand... Kweli kabisa.. Hii inamananisha - this building can't be touched!! Cjui huo anaongea nini
popiexo said: Ukumbuke pale pembeni kuna ofisi ya chama ambayo imejengwa kwa msaada wa huyu jamaa wa Naura, na ujenzi ulienda sambamba. Click to expand... Wambugani said: Sio rahisi ikabomolewa kwani mwenye hoteli alijenga Ofisi ya CCM pale Sanawari. Click to expand... Kweli kabisa.. Hii inamananisha - this building can't be touched!! Cjui huo anaongea nini
Michael Amon JF-Expert Member Joined Dec 22, 2008 Posts 8,768 Reaction score 3,622 Mar 14, 2012 #22 Kama wanatakakubomoa Naura Springs Hotel basi wabomoe na nyumba zote zilizopo barabara ya AICC na nyumba za polisi pamoja na CEDHA hapo ndipo watakuwa wametenda haki.
Kama wanatakakubomoa Naura Springs Hotel basi wabomoe na nyumba zote zilizopo barabara ya AICC na nyumba za polisi pamoja na CEDHA hapo ndipo watakuwa wametenda haki.