Nautafuta huu wimbo

jitahidi uwe na app ya shazam itakusaidia siku ukiusikia unaushazam chap unakua nao
 
mzee huna google kwenye simu yako? ukitaka kila kitu uelezwe unafunga uwezo wako wa kufikiri na kuchambua mambo ulipoona neno shazam moja kwa moja ungeingia google uulize ni nini alafu usome naelekezo sio kurudi kuuliza humu...... funguka akili
Mwe,umenifokea kweli jamaa
 
Nitaupata tu hata kwa kumcharaza mtu bakora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…