INAUZWA Nauza Ac portable

INAUZWA Nauza Ac portable

hanc j

Member
Joined
Jan 12, 2017
Posts
98
Reaction score
30
Ni mpya kabisa nimeitumia siku mbili tu
Horsepower ni 1.5 ina ubarid wa kutosha na matumiz madogo sana ya umeme nichek
Tigo 0718017711
Voda 0743553553
1f4288852d3f87a30503dbbdf2f6b7d8.jpg
74f8dbac64ba04257d81f1da2e183e64.jpg
5bb44130d23a043795c626215d4a44c8.jpg

Bei ni 550000 punguf unaongea
 
Umenunua ukatumia ndani ya siku mbili tu ukaamua kuiuza, nikisema umegundua ina mapungufu nitakuwa nimekosea? Anyway hebu weka hiyo bei tujipime kama tutafika
 
Hiyo ni laki 55000 au 550,000!? Maana maelezo ni tofauti na digit
 
Ni mpya kabisa nimeitumia siku mbili tu
Horsepower ni 1.5 ina ubarid wa kutosha na matumiz madogo sana ya umeme nichek
Tigo 0718017711
Voda 0743553553
1f4288852d3f87a30503dbbdf2f6b7d8.jpg
74f8dbac64ba04257d81f1da2e183e64.jpg
5bb44130d23a043795c626215d4a44c8.jpg

Bei ni 550000 punguf unaongea

Kitu kikishatumika au ukishakuwa nacho mkononi sio kipya tena. Ukitumia hata kwa lisaa limoja hiyo already used.

Hebu eleza Brand ya hiyo AC
 
Kitu kikishatumika au ukishakuwa nacho mkononi sio kipya tena. Ukitumia hata kwa lisaa limoja hiyo already used.

Hebu eleza Brand ya hiyo AC
Ninaitwa amcor
 
Back
Top Bottom