Ndiyo Unafanya Maandalizi Ya ChristmasZa manyoa ziko wapi?Nimnunulie cha fujo wangu
Hampo serious na biashara!Hatuna za manyoya kaka
Hahahaha idea nzuri pia kwa watotoBoss, hongera kwa kazi nzuri. Ila hapo kwenye bei sasa, wenzio hivyo tunaanza bei ya jumla n 6000 hivyo vya kike ila 7000 vya kiume.Rejareja n 10,000 vya kiume na kike 9000 had 8000 na hapo kama vyote ni ngozi tupu. Na kama n kapeti ukiweka oder bei ya jumla n 4500 na kama siyo order 5000 na rejareja n 6500.. ko jitahid uangalie competition kwenye soko pia. Alafu jitahid utengeneze vya watoto huwa ndo vinatoka zaid kuliko vingne vyote. Mtoto akililia tu lazm mama ajikunje 4000 kumridhisha🤣🤣🤣🤣, na tunawavalishaga watot makusudi ili wakat wa kumvua alilie🤣🤣 mtego huooo😆😆😆😆
Boss, hongera kwa kazi nzuri. Ila hapo kwenye bei sasa, wenzio hivyo tunaanza bei ya jumla n 6000 hivyo vya kike ila 7000 vya kiume.Rejareja n 10,000 vya kiume na kike 9000 had 8000 na hapo kama vyote ni ngozi tupu. Na kama n kapeti ukiweka oder bei ya jumla n 4500 na kama siyo order 5000 na rejareja n 6500.. ko jitahid uangalie competition kwenye soko pia. Alafu jitahid utengeneze vya watoto huwa ndo vinatoka zaid kuliko vingne vyote. Mtoto akililia tu lazm mama ajikunje 4000 kumridhisha🤣🤣🤣🤣, na tunawavalishaga watot makusudi ili wakat wa kumvua alilie🤣🤣 mtego huooo😆😆😆😆
Fantastic flip-flops pairs!AFRICAN HANDMADE SANDALS
TUNATHAMINI PESA ZA WATANZANIA KWA KUTENGENEZA SANDALS IMARA KWA ZA KIPEKEE KWA BEI POA
Bei ya jumla 10000
Rejareja 13000
Kwa MAWASILIANO ZAIDI [emoji116][emoji116][emoji116]
0657291795 WhatsApp
View attachment 1655769View attachment 1655770View attachment 1655771View attachment 1655772