INAUZWA Nauza African handmade sandals

Abdistar

Member
Joined
Feb 26, 2019
Posts
39
Reaction score
26
AFRICAN HANDMADE SANDALS

TUNATHAMINI PESA ZA WATANZANIA KWA KUTENGENEZA SANDALS IMARA KWA ZA KIPEKEE KWA BEI POA

Bei ya jumla 10000
Rejareja 13000

Kwa MAWASILIANO ZAIDI [emoji116][emoji116][emoji116]

0657291795 WhatsApp

 
Viatu vizuri sana hongera sana tena kwa muonekano ni imara sana haviumizi kwenye kidole katikati so that wearer may feel comfort.
 
Za manyoa ziko wapi?Nimnunulie cha fujo wangu
Ndiyo Unafanya Maandalizi Ya Christmas
Tumechelewa Sana Ndugu Zangu
Tumelaliwa Sana Ndugu Zangu
Tumegongwa Sana Ndugu Zangu
😀😁😂🤣😃😄😅😅😄😃🤣😂😁😀
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
 
Unauza jumla 10000 Duh , hapo unatakiwa uuze jumla 7000 or 8000 ili wa reja reja umpe uwanja mpana wa kufanya hustling ya kutafta final consumer .... Ngoja mchina aje awaonyeshee kazi...
 
Kwel kaka lakini hivi ni vya kufuma vinatumia mda KUTENGENEZA lakin bei ya mwisho huwa tunafanya 9000 kwaanzia pear 10
 
Hahahaha idea nzuri pia kwa watoto
asante kaka kwa experience yako itabidi nipunguze ubora wa kazi ili niweze kuendana na hali ya kiuchumi
 
 
Sandals imara za kipekee home MADE kwa mawasiliano zaidi nichek what'sp +255657291795

Tunauza kwa bei ya jumla na rejareja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…