Weka picha
ipo 350k cash niifate
uko wapihaipungui hata mia.. nimeeandika juu ya uzi , kwa ajili ya kuepusha maswali kama hili ulilouliza
uko wapi
Tb ngap
Nzima hiyo[emoji848]
Hii brand ina spear,unawarant card
Mkuu BTU 9000 inafika ukubwa gani wa nyumba?Bruhm wapo dar wana duka lao... warranty ninayo ndio ila imeisha.. mashine imekaa mwaka mzima bila kufungwa.. warrany inahesabu toka siku uliyonunua tu mpaka mwaka uishe
Sasa huoni ni rahis kukupata kama una uzi mbovu humu jf?nipo yombo vituka, nyuma ya airport mpya terminal 3 ya dar es salaam