Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa huoni ni rahis kukupata kama una uzi mbovu humu jf?
9000 ndogo sana tena used kuuza bei hiyo ndg
500k tunapata mpk kwa 24bt
Inatumia remote?
Mkuu BTU 9000 inafika ukubwa gani wa nyumba?
Mashine sio used, haijawai tumika hata mara 1.. pia mteja sio mjinga kununua kitu bila kupeleleza bei halisi ya dukani ikoje... bei yangu ni fixed.. atakaehitaji aje.. ila haishuki hata mia
Sina jazba ndugu napenda watu waelewa . Maana juu kwenye uzi nimeandika bei ni fixed . Na sifa za mashine zote... mtu kuuliza kitu ambacho umeshaongea anakuwa mtu wa ajabu..Mkuu naona una msimamo na una Jazba pia. Hongera kwa hilo.
Vipi unafanya delivery?
Acha utotoipo 350k cash niifate
Kibanda changu kama kingeisha ningenunua hii.
A
Acha utoto
Kikwazo kwangu ni hizo BTU 9000 tu.
Nimekuelewa ndugu.. mimi kwa mahitaji yangu wakati nanunua.. btu 9000 zilinifaa..
Baki nayo sasa huwez uza kwa bei hiyo hata kama mpya haiko dukani [emoji23][emoji23][emoji23]