Nauza Airtel 5G SmartBox Router

Nauza Airtel 5G SmartBox Router

Joined
Apr 18, 2017
Posts
86
Reaction score
57
Nimetumia miezi miwili tu
Iko full box
Bei: 17,5000/- TZS nimenunua 270,000/- TZS
+255676095799
IMG_3784.jpeg
 
Unauza fuill na power bank yake? Haina deni? Maana kuna jamaa yangu aliuza ya Voda ikiwa na deni la 600,000 ikala kwa mnunuzi daah, na pia malipo ya mwezi ni ngapi ngapi na ina MBPs ngapi?
 
Unauza fuill na power bank yake? Haina deni? Maana kuna jamaa yangu aliuza ya Voda ikiwa na deni la 600,000 ikala kwa mnunuzi daah, na pia malipo ya mwezi ni ngapi ngapi na ina MBPs ngapi?
Kila kitu mkuu, haina deni… za Airtel bila kutop up huwezi kutumia internet so there’s no way inaweza kuacha deni
 
Zunguka tena mtaani uangalie bei chief.

Zinauzwa 110,000 na miezi inayofuata unalipa kifurushi cha 70,000 unlimited.

Nadhani ulinunua kwa bei hiyo ili ulipie kifurushi cha 70,000 kwa mwezi.
Kifurushi nilikuwa nalipia 110k, vifurushi inategemea na Mbps
 
Nimetumia miezi miwili tu
Iko full box
Bei: 17,5000/- TZS nimenunua 270,000/- TZS
+255676095799
View attachment 3133942

Bro, hiyo router ina nini ambacho simu yangu yenye TETHERING FEATURE haina ?

Na nadhani siku hizi simu janja/simu kubwa zote zina hiyo feature ya kurusha connection hewani.

Hiyo router ina nini cha mno ?
 
Bro, hiyo router ina nini ambacho simu yangu yenye TETHERING FEATURE haina ?

Na nadhani siku hizi simu janga/simu kubwa zote zina hiyo feature ya kurusha connection hewani.

Hiyo router ina nini cha mno ?
unaweza kuweka simu ofisini kwa ajili ya kusambaza internet?
Au Internet kwa matumizi ya nyumbani unaweza sambaza kwa simu yako?

ukiondoka hilo eneo matumizi ya internet yataendelea?
Au ukifanya mawasiliano ya kawaida internet itaendelea?

Kuna watu wanahitaji huduma ya kusambaza internet kwenye vifaa vingine eneo husika ndio maana linakuja suala la router na sio simu tena.
 
unaweza kuweka simu ofisini kwa ajili ya kusambaza internet?
Au Internet kwa matumizi ya nyumbani unaweza sambaza kwa simu yako?

ukiondoka hilo eneo matumizi ya internet yataendelea?
Au ukifanya mawasiliano ya kawaida internet itaendelea?

Kuna watu wanahitaji huduma ya kusambaza internet kwenye vifaa vingine eneo husika ndio maana linakuja suala la router na sio simu tena.

Nina ki IPHONE 8 nyumbani hakina kazi. Hakitumiki kwa simu.

Sasa, kwa matumizi ya nyumbani
hilo router kubwa lina nini ambacho iPhone 8 ndogo haiwezi ???

Tena kusema la ukweli iPhone 8 yangu:

1. inanambia zimebaki data ngapi, router haina screen, haina keyboard, haina interaction

2. simu inapiga kazi umeme ukikatika, router inazima

3. kasimu kako portable, unaenda nako popote inapofika laptop unapiga kazi. Router huwezi kwenda nayo kijijini

4. kasimu unaweza ukakazima ukakafunga na password watoto wasiiki abuse

Hiyo router kuuuubwa, tueleze ina nini cha mno ???????
 
Nina ki IPHONE 8 nyumbani hakina kazi. Hakitumiki kwa simu.

Sasa, kwa matumizi ya nyumbani
hilo router kubwa lina nini ambacho iPhone 8 ndogo haiwezi ???

Tena kusema la ukweli iPhone 8 yangu:

1. inanambia zimebaki data ngapi, router haina screen, haina keyboard, haina interaction

2. simu inapiga kazi umeme ukikatika, router inazima

3. kasimu kako portable, unaenda nako popote inapofika laptop unapiga kazi. Router huwezi kwenda nayo kijijini

4. kasimu unaweza ukakazima ukakafunga na password watoto wasiiki abuse

Hiyo router kuuuubwa, tueleze ina nini cha mno ???????
Haina chochote, wewe endelea kutumia tu iPhone 8 mkuu 😅
 
Back
Top Bottom