yassin alluy
Member
- Feb 4, 2017
- 27
- 64
Waungwana watumiaji wa asali kwa afya, leo napenda kutoa mada ya kuitambua asali halisi au mbichi.
Zipo njia nyingi tena nyingine unaweza kuwa unazijua. Asali halisi ni nzuri kutumia kama dawa ya kuongeza nguvu za kiume, kutibu kifua, kinga baada ya kuungua na moto. kuongeza cd4, kulainisha ngozi, kutoa sumu mwilini na faida nyingine nyingi zitokanazo na asali halisi au mbichi.
Zifuatazo ni njia za kutambua asali halisi ambayo haijachakachuliwa.
1. Tumia grass nyeupe weka maji halafu mimina asali kwenye grass hiyo yenye maji. ukiona asali inaenda kuzama chini ya grass bila kuchafua maji ujue asali hiyo ni halisi.
2. Tumia gazeti kama kiu ijumaa, nipashe, habari leo, mwanaspoti kutambua asali mbichi au halisi. chukua kipande cha gazeti halafu chukua asali mwagia kwenye upande moja wa gazeti kisha pakaza asali kwa kutumia kidole ukikikandamiza kwenye gazeti halafu angalia upande wa pili wa gazeti sehemu hiyo uliyopakaza asali, Kama gazeti limelowana upande wa pili asali hiyo ni feki yaani imechanganywa na maji au kitu kingine chenye asili ya maji.
3. Tumia vumbi, chukua asali mwaga kwenye vumbi halafu angalia kama asali hiyo imetengeneza umbo la mpira kisha chukua kijiti piga huo mpira uliotengezezwa na hiyo asali baada ya kuimwaga chini, Ukiona ule mpira unahama toka sehemu ulipo na kwenda ukibiringika mpaka sehemu nyingine bila kuacha tone la asali kwenye ardhi ujue asali hiyo ni halisi.
4. Tumia mshumaa. pakaza asali kwenye upande wa utambi wa mshumaa kisha washa moto -shuo utambi ukiona mshumaa unawaka ujue asali hiyo ni halisi
Unapo hitaji asali mbichi safi na original tuone sisi maana haina haja ya kuhangaika kupima pima
Asali ya nyuki adoo lita moja......................35,000/=
Asali ya nyuki wakubwa lita moja.................15,000/=
Juisi ya asali pamoja na mauta ya kuchua.......60,000/=
Korosho kilo moja.........................................26,000/=
Namba zetu
0625 50 43 16
0712 58 31 57
0689 55 44 38 WHATSAPP
Tupo kibaha ila Dar, tunakuletea kwenye vituo vyote vya mwendokasi, unasogea mpaka kituoni utakapochagua mteja.
Ewe mtu wa mkoani unayehisi kutapeliwa nasisi utaendelea kuumia kwa uoga ambao unamadhara kwako. Tumesisitiza ambae tumemtapeli ajitokeze
Zipo njia nyingi tena nyingine unaweza kuwa unazijua. Asali halisi ni nzuri kutumia kama dawa ya kuongeza nguvu za kiume, kutibu kifua, kinga baada ya kuungua na moto. kuongeza cd4, kulainisha ngozi, kutoa sumu mwilini na faida nyingine nyingi zitokanazo na asali halisi au mbichi.
Zifuatazo ni njia za kutambua asali halisi ambayo haijachakachuliwa.
1. Tumia grass nyeupe weka maji halafu mimina asali kwenye grass hiyo yenye maji. ukiona asali inaenda kuzama chini ya grass bila kuchafua maji ujue asali hiyo ni halisi.
2. Tumia gazeti kama kiu ijumaa, nipashe, habari leo, mwanaspoti kutambua asali mbichi au halisi. chukua kipande cha gazeti halafu chukua asali mwagia kwenye upande moja wa gazeti kisha pakaza asali kwa kutumia kidole ukikikandamiza kwenye gazeti halafu angalia upande wa pili wa gazeti sehemu hiyo uliyopakaza asali, Kama gazeti limelowana upande wa pili asali hiyo ni feki yaani imechanganywa na maji au kitu kingine chenye asili ya maji.
3. Tumia vumbi, chukua asali mwaga kwenye vumbi halafu angalia kama asali hiyo imetengeneza umbo la mpira kisha chukua kijiti piga huo mpira uliotengezezwa na hiyo asali baada ya kuimwaga chini, Ukiona ule mpira unahama toka sehemu ulipo na kwenda ukibiringika mpaka sehemu nyingine bila kuacha tone la asali kwenye ardhi ujue asali hiyo ni halisi.
4. Tumia mshumaa. pakaza asali kwenye upande wa utambi wa mshumaa kisha washa moto -shuo utambi ukiona mshumaa unawaka ujue asali hiyo ni halisi
Unapo hitaji asali mbichi safi na original tuone sisi maana haina haja ya kuhangaika kupima pima
Asali ya nyuki adoo lita moja......................35,000/=
Asali ya nyuki wakubwa lita moja.................15,000/=
Juisi ya asali pamoja na mauta ya kuchua.......60,000/=
Korosho kilo moja.........................................26,000/=
Namba zetu
0625 50 43 16
0712 58 31 57
0689 55 44 38 WHATSAPP
Tupo kibaha ila Dar, tunakuletea kwenye vituo vyote vya mwendokasi, unasogea mpaka kituoni utakapochagua mteja.
Ewe mtu wa mkoani unayehisi kutapeliwa nasisi utaendelea kuumia kwa uoga ambao unamadhara kwako. Tumesisitiza ambae tumemtapeli ajitokeze