Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna lolote,Wameuzwa baada ya kushtukiwaa km Umepigwa!!!Ahsanteni wakuu.
Bata wote wameuzwa.
😀 😀 😀Walimwegu wana balaa sanaaa....Huna lolote,Wameuzwa baada ya kushtukiwaa km Umepigwa!!!
HaA Lile Ni Dimbwikawawekea na swimming pool
hawa ni wenyewe sio?
Mzee baba hao ni bata maji[emoji1787]Aim: Nauza Bata
Specie: Bukini Serbié wakubwa
idadi: Wawili (dume na jike)
Price: Dume (TZS 330,000) na Jike (TZS 300,000)
Combined Price: Ukichukua wote nakuuzia kwa 600,000/=.
Location: Makongo Juu, DAR.
Mawasiliano: 0718 102033
Nota bene: Huyu Jike anataga, as of today anaatamia mayai kumi na moja (11). Ukimlipia unabeba na mayai yake. Yaani unakua umenunua Bata 12 kwabei ya mmoja.
Kama upo DAR, ukichukua Bata wote wawili naweza kukuletea ulipo nauli utanipa 20,000 tu.
PICHA ZAO:
Huyu hapa Dume
View attachment 2279051
Huyu hapa Jike
View attachment 2279052
Hapa wamepumzika pamoja.
View attachment 2279053
Hapa wanaogelea kwenye bwawa lenye niliwajengea.
View attachment 2279054
Update: SOLD SOLD SOLD
Hao Ndiyo Bata Bukini Hapo Wana Miezi 9 Bado Wanakuahawa ni wenyewe sio?
Nilianza kushangaaa kabla ya hizo picha, Yaani Bata bikini atamie mayai 11 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aim: Nauza Bata
Specie: Bukini Serbié wakubwa
idadi: Wawili (dume na jike)....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu Wacha uhuniAhsanteni wakuu.
Bata wote wameuzwa.
Acha uongoAiseeh acha uongo hao ni wale bata wa kitaa..bata bukini ni msafi sana
hawa ndo bata bukini sasa.wale jamaa alioonesha sio
upo...?Acha uongo