Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣bei na mali vitu viwili tofautUkiuza kwa zaidi ya laki 6 niite mbwaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣ngoja ajeIkiwa namba D sh ngapi?
[emoji3061]Nauza click cc 150 ipo ktk good condition kwa bei ya Mil 5,8000,000 View attachment 2503748View attachment 2503749View attachment 2503750View attachment 2503751
Ikiwa namba D sh ngapi?
Hiyo ndogo sanaMillion 10
Hiyo bei yako ndo sh ngap mkuu!!!?
Milioni 5 na laki 8 mkuuHiyo bei yako ndo sh ngap mkuu!!!?
58,000,000!!?
5,800,000!!?
580,000?
Hii pikipiki huwezi kuuza kwa bei hiyo ya milioni 1.5! Ukijitahidi sana utauza kwa laki kadhaa. Na ni mpaka upate mteja mbumbumbu.Nauza boda boda iko poa kabisa haina tatizo lolote kwa bei ya Mil 1,500,000 kwa maelezo zaidi nipigie 0718343299 View attachment 2503735View attachment 2503736View attachment 2503738
Unafikiri kila mtu mbeba mahindi mkuu?Embu nishawishi vizur kwann nisinunue sanlg mpya mbili, zenye uwezo wa kubeba gunia mbili za mahind, nije ninunue hiyo yako