TV4Sale Nauza boss inch 55

TV4Sale Nauza boss inch 55

Mwamba unafaa kuwa kitengo Cha ubunifu na mauzo. Hii picha haijakosewa kupigwa,kila kitu ni stori. Na kupitia huyo mdada watu wengi watautazama huu uzi,then boom! Mteja wa TV atapatikana humo humo.

Bei ya tv ni affordable kabisa. Nchi 55 second hand/used Mara nyingi price tag zinaanzia 900k.
THANKS MKUBWA
 
Mwamba unafaa kuwa kitengo Cha ubunifu na mauzo. Hii picha haijakosewa kupigwa,kila kitu ni stori. Na kupitia huyo mdada watu wengi watautazama huu uzi,then boom! Mteja wa TV atapatikana humo humo.

Bei ya tv ni affordable kabisa. Nchi 55 second hand/used Mara nyingi price tag zinaanzia 900k.
ubunifu wa hali ya juu mno
 
ubunifu wa hali ya juu mno
Chukua tv boss,Bei ni nzuri kabisa.

Mimi ningekuwa na hela ningechukua mzigo huu,katv kangu ka nchi 32 Sasa hivi nakaona kadogo,sikauzi kwa sababu kana rangi nzuri nakapenda Sana,inaitwa good vision. Jamaa wako vizuri sana kwenye rangi.
 
IMG_20230523_165213.jpg
 
Back
Top Bottom