Nauza crown athlets

Mkuu hiki sindo chuma chako unacho kiwinda?

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Mkuu mambo yamebana acha niendeshe chuma langu carina T.I
Mipango ikitulia mwaka huu ntavuta hiyo mashine
 
Sema toyota wanabana sana spidi kila gari ni 180 labda ununue ya ulaya unakuta spidi 240 i.e Subaru Forester STi
 
Hahahaa STi wamefika 260 kama BMW hahahaha
Manual transmission hiyoo mkuu sometimes magari yanafanya watu kuwa machizi barabarani ebu fikiria una mashine kama hiyo unatoka moshi unaenda arusha
 
Manual transmission hiyoo mkuu sometimes magari yanafanya watu kuwa machizi barabarani ebu fikiria una mashine kama hiyo unatoka moshi unaenda arusha
Tunaweza kuokota mtu akiwa hajitambui aiseee ila Dar kwenda Arusha kwa mashine kama hio ni raha sana aiseee unamaliza kisahahi chote aisee ila wajerumani wanapends sana speed gari za kijerumani BMW,Audi,VW na Benz ni standard feature kua na spidi 260
 
Sema toyota wanabana sana spidi kila gari ni 180 labda ununue ya ulaya unakuta spidi 240 i.e Subaru Forester STi

Ukiifanyia ECU remapping mpk 260kph inafika hio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…