Jr Magwila
Member
- Oct 31, 2017
- 11
- 6
Mkuu nikupe Mark X namba D, Ipo kwenye hali nzuri, Nikuongeze na Pesa KidogoNew model ml 25. Naitaji wateja sio madalaliView attachment 1014391
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkubwa. Angalia na bei za wenzio mtandaoni.
Hiyo bei ni kubwa mno kwa gari na rangi hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hiki sindo chuma chako unacho kiwinda?Kwanini unauza gari kali kama hili?
Aisee binadamu tumetofautiana
Ilibidi iwe nyeusi nini kwa bei hio?Mkubwa. Angalia na bei za wenzio mtandaoni.
Hiyo bei ni kubwa mno kwa gari na rangi hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mambo yamebana acha niendeshe chuma langu carina T.IMkuu hiki sindo chuma chako unacho kiwinda?
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Hahahaa STi wamefika 260 kama BMW hahahahaView attachment 1020417View attachment 1020417subaru sti hiyo mkuu hawa jamaa nao ni wabishi
Manual transmission hiyoo mkuu sometimes magari yanafanya watu kuwa machizi barabarani ebu fikiria una mashine kama hiyo unatoka moshi unaenda arushaHahahaa STi wamefika 260 kama BMW hahahaha
Tunaweza kuokota mtu akiwa hajitambui aiseee ila Dar kwenda Arusha kwa mashine kama hio ni raha sana aiseee unamaliza kisahahi chote aisee ila wajerumani wanapends sana speed gari za kijerumani BMW,Audi,VW na Benz ni standard feature kua na spidi 260Manual transmission hiyoo mkuu sometimes magari yanafanya watu kuwa machizi barabarani ebu fikiria una mashine kama hiyo unatoka moshi unaenda arusha
Sema toyota wanabana sana spidi kila gari ni 180 labda ununue ya ulaya unakuta spidi 240 i.e Subaru Forester STi