Ww unawaza shingpi kipya used ndio bei zke izoIna shida gani mkuu?
Ikiwa umefanya tukio la kihalifu na unatafutwa atakayenunua hicho king'amuzi atadakwa kama kuku.Nauza decorder ya DStv Ina remote na wire zake. Nahitaji 20,000. Ipo Kigamboni
0738 862 877View attachment 2351367
Acha kuendeleza Njaa 20,000 utafanyia nn kama si ujingaWe unaumwa, nakiuza kwasabab sikitumii, natumia azam View attachment 2355645
59,000Unajua kipya kinauzwa sh ngap ?
Upo sahihi sana, fanya maamuzi kwa kufuata instinct zako.Nakuelewa, Ila sipo ktk level ya kuhifadhi assets nisizozitumia
Hapa huwa hawaji wanunuzi. Hapa wanakuja wajuaji,wababaishaji na jokers. Wanunuzi wanakuja PM.SOLD