Kula kulanimeshamaliza mkuuu,wananidai hela yao huku
fanya usichelewe maana naona wanakaribia kufunga
naona meneja wa bar yuko anaongea na mpishi jikoni (itakua wanataka niletea chakula)
Kwa vile alicomment kwenye ule uzi wa wanawake "Jinsi ya kupata hedhi" ama? Pengine ile asante aliyoitoa kwenye ule uzi ni kwa niaba ya mama chanja wake.Mbarika said:Mkuu kuna watu wanasema eti wewe ni mwanamke.
Hebu clear hyo dauti.
Hahahaa... nmecheka sana mkuu. Sijui nimetafsiri vibaya...!?Fh Kwenye Beat said:Wanawake wajinga ndio waliwao