INAUZWA Nauza furniture

INAUZWA Nauza furniture

Joined
Jun 21, 2021
Posts
25
Reaction score
7
Tumekuja na bidhaa bora na za bei rahisi tunapatikana tabata.

Causal leser bench Kwa matumizi ya ofisini, chumbani, sebuleni, dinning.

Bei 150,000 bila mito
Mto mmoja 20,000
Zulia 15,000

0767 601018
Karibuni

IMG-20210704-WA0001.jpg


IMG-20210704-WA0000.jpg


IMG-20210705-WA0002.jpg


IMG-20210705-WA0001.jpg
 
Karibu sana ndugu yangu tumekuja na idea ya kutengeneza samani/furniture za aina tofauti Kwa kuzingatia bei, ubora na thamani halisi kwenye soko.

Tuna bidhaa nyingi na tunatengneza kwenye kiwanda chetu kidogo kilichopo tabata, lengo kuu ni kuwafikia wateja kuhakikisha bei zinakuwa nafuu.

Aidha, tunapokea maelekezo ya mteja kuhusiana na bidhaa anayotaka.

Dhumuni letu ni kuwa fanya wateja wapate bidhaa bora za kisasa na ziendane na vyumba, nyumba wanazoishi.

Tumekuja na bidhaa ambazo zitakuwa rahisi kubeba,imara, zenye ubora na za kisasa tukizingatia soko lililopo na garama alisi.

0767 601018
Karibuni.
 
Iyo ni simple Kwa ajili ya familia ndogo tunayo kiwanda inaenda Kwa 500,000 ni hardwood.

Karibu sana mkuu
 
The Sofa called perfect position plz if you are interested call us 0767601018

Price 200,000TZS per each

Screenshot_20210704_195012_com.huawei.himovie.overseas.jpg
 
The Sofa called perfect position plz if you are interested call us 0767601018

Price 200,000TZS per each

View attachment 1841361
Tumekuja na bidhaa bora na za bei rahisi tunapatikana tabata.

Causal leser bench Kwa matumizi ya ofisini, chumbani, sebuleni, dinning.

Bei 150,000 bila mito
Mto mmoja 20,000
Zulia 15,000

0767 601018
Karibuni

View attachment 1840262

View attachment 1840263

View attachment 1842106

W

Tumekuja na bidhaa bora na za bei rahisi tunapatikana tabata.

Causal leser bench Kwa matumizi ya ofisini, chumbani, sebuleni, dinning.

Bei 150,000 bila mito
Mto mmoja 20,000
Zulia 15,000

0767 601018
Karibuni

View attachment 1840262

View attachment 1840263

View attachment 1842106

View attachment 1842107
1.Wakuu habari za leo, tumewaletea simple open shelf ambayo ni mult purpose unaweza wekea vyombo, vitabu au matumizi mengine.

Inafaa sitting room, dinning room, chumbani na jikoni unaweza kuitumia ofisini au nyumbani
Price 70,000 tuna deliver pia.

2.Tunawaletea Meza ya soft wood hapo juu unaweza ukapigia pasi, ukatumia kuweka laptop, kama coffee table, ukatumia chumbani, sebuleni au jikoni

Price 50, 000 tuna deliver.

0767 601018
 
Bei weka bei zinavutia sana hope zinalast longer

Sent from my Nokia 7.2 using JamiiForums mobile app
Nashukuru Sana bei tuliweka hapo mwanzo ila kutokana na bidhaa kuwa nyingi kulitokea mkanganyiko wa bidhaa na bei.

Tunaomba sana kama kuna kitu umekiona na kukipenda tupigie Kwa namba yetu 0767 601018.

Ili tuweze kutoa bei hapa hapa kwenye jukwaa.

Tunatanguliza Shukrani Kwa kupenda bidhaa zetu.
 
Wadau tumekuja na ofa ya sabasaba hususani kwenye bidhaa zetu za mito na Foronya.

Tuna aina tatu ya mito, mito midogo ya kochi, ya kulalia na mikubwa kabisa ya sitting room.

Bei.
Mito midogo elfu 5,000/Foronya 3500

Mito ya kulalia elfu 8,000/foronya 5000

Mito ya sitting room mikubwa 12,500/foronya 70000

Tunapatikana tabata na tunafanya delivery.

Aidha, tunapokea oda kutokana na chaguo la mteja.

Tupigie 0767 601018

IMG_20210707_093003.jpg


IMG-20210705-WA0005.jpg


IMG-20210705-WA0004.jpg


IMG-20210705-WA0003.jpg
 
Back
Top Bottom