Car4Sale Nauza Gari aina ya IST

Car4Sale Nauza Gari aina ya IST

Post kwenye group la wasap la Wanafunzi, Mtu mzima na akili zake hawezi nunua baby-walker, sijui jaribu ma-groups ya sekondari huko shaaban Robrt na Azania
Unadhani kwa gari kama hii ambayo ni imported sio zaidi ya mwezi mmoja ni kiasi gani
 
Post kwenye group la wasap la Wanafunzi, Mtu mzima na akili zake hawezi nunua baby-walker, sijui jaribu ma-groups ya sekondari huko shaaban Robrt na Azania
Watu kama wewe huwa ni maskini ndio shida hapo
 
Post kwenye group la wasap la Wanafunzi, Mtu mzima na akili zake hawezi nunua baby-walker, sijui jaribu ma-groups ya sekondari huko shaaban Robrt na Azania
Mkuu kwahio hawa wanaoendesha gari kama hizo hawana akili?
 
Back
Top Bottom