Darcity Magari
Member
- Aug 29, 2022
- 58
- 53
Kama hujui kaa kimya Acha ujuaji ist unajua soko lake weweMadalali mnaharibu biashara. Sasa hiyo gari ukali wake uko wapi?.
Sawa kanunue
Unauza milioni 11 na wewe ulilinunua shingi ngapi? Watanzania tubadilike tunakuwa tunauza vitu tulivyotumia.TOYOTA IST
CC1290
MWAKA 2004
FULL DOCOMENT
FULL AC
GARI KALI SANAA
BEI 11ML
KARIBU SANA.
0625004475
View attachment 2487948View attachment 2487947
Wakuu hapo juu Kama huhitaji gari unaruhusiwa kujikataa, maana kimfaacho mtu chake, Sasa nyie hamjui biashara au 11mil. Ukiwa na 9.2 pengine atakufikiria ni lini IST mpya ikauzwa 5mil au 6mil, hiyo gari ukiikagua vizuri siyo chini ya 9mil.. tena kauza haraka haraka.
Kama hamjui kitu is better to shut up.
Multiple IDs at work.Wakuu hapo juu Kama huhitaji gari unaruhusiwa kujikataa, maana kimfaacho mtu chake, Sasa nyie hamjui biashara au 11mil. Ukiwa na 9.2 pengine atakufikiria ni lini IST mpya ikauzwa 5mil au 6mil, hiyo gari ukiikagua vizuri siyo chini ya 9mil.. tena kauza haraka haraka.
Kama hamjui kitu is better to shut up.
Naijua vizuri ndiyo gari Kali imekaza in mint condition.Kumbe unaijua vizuri hiyo gari, haya nenda wewe sasa kainunue.
Nenda kainunue sasa....!!!Naijua vizuri ndiyo gari Kali imekaza in mint condition.
Wala hata huyo jamaa simjui.Multiple IDs at work.
Sina uwezo kaka wakutoa 11mil niichukue, tatizo sisi tunakuwa wapangaji wa Bei badala ya wauzaji ndiyo wafanye hivo.Nenda kainunue sasa....!!!
Sina uwezo kaka wakutoa 11mil niichukue, tatizo sisi tunakuwa wapangaji wa Bei badala ya wauzaji ndiyo wafanye hivo.Nenda kainunue sasa....!!!
TOYOTA IST
CC1290
MWAKA 2004
FULL DOCOMENT
FULL AC
GARI KALI SANAA
BEI 11ML
KARIBU SANA.
0625004475
View attachment 2487948View attachment 2487947
Boss siyo soko la IST hizi gari BADO soko lake lipo juu tafuta IST NYINGI zinazouzwa ukikuta inauzwa m6 jitafakari mara mbili
Hiyo gari ni mpya?Wakuu hapo juu Kama huhitaji gari unaruhusiwa kujikataa, maana kimfaacho mtu chake, Sasa nyie hamjui biashara au 11mil. Ukiwa na 9.2 pengine atakufikiria ni lini IST mpya ikauzwa 5mil au 6mil, hiyo gari ukiikagua vizuri siyo chini ya 9mil.. tena kauza haraka haraka.
Kama hamjui kitu is better to shut up.
Nimenunua 7m... kitu mma...Boss siyo soko la IST hizi gari BADO soko lake lipo juu tafuta IST NYINGI zinazouzwa ukikuta inauzwa m6 jitafakari mara mbili