Car4Sale Nauza gari aina ya IST

Wakuu hapo juu Kama huhitaji gari unaruhusiwa kujikataa, maana kimfaacho mtu chake, Sasa nyie hamjui biashara au 11mil. Ukiwa na 9.2 pengine atakufikiria ni lini IST mpya ikauzwa 5mil au 6mil, hiyo gari ukiikagua vizuri siyo chini ya 9mil.. tena kauza haraka haraka.

Kama hamjui kitu is better to shut up.
 

Kumbe unaijua vizuri hiyo gari, haya nenda wewe sasa kainunue.
 
Multiple IDs at work.
 
Hiyo gari ni mpya?

Kama sio mpya ina maaana una kubaliana na wadau haiwezi kuuzwa 11m...

IST sasa hivi hazina gharama tena kuzipata na pia soko sio kama zamani walivyo kuwa wana zishambulia...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…