thatfunnyboy23
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 850
- 1,134
๐๐Boss siyo hivyo vitu vingine jamani tuache ushindani embu ingia kwenye magari used tafuta IST Zinazouzwa M6 zinafika ngap mbona ni mambo ambayo yanaonekana daahMultiple IDs at work.
Zipo nyingi tu๐๐Boss siyo hivyo vitu vingine jamani tuache ushindani embu ingia kwenye magari used tafuta IST Zinazouzwa M6 zinafika ngap mbona ni mambo ambayo yanaonekana daah
Used mkuu?Nimenunua 7m... kutu mma...
Sijakataa zipo tunaangalia range ya bei nyingi ni ngap Kati ya IST10 unahakika utapata ist8 za m5 kama jamaa alivyosome?Zipo nyingi tu
Hongera mkuu kwa kubahatisha hiyo IST nyingi plus usajili huwa ni 12.5mil. na Ile za mkononi nyingi ni 9 au 10 Kama hiyo hapo juu.Nimenunua 7m... kitu mma...
Dalali ni utasikia nyumba kali, gari kali ukiuona uhalisia sasa aisee hatari na nusu.Madalali mnaharibu biashara. Sasa hiyo gari ukali wake uko wapi?.
Nonsense, nenda kawalangue washamba wenzio.Wakuu hapo juu Kama huhitaji gari unaruhusiwa kujikataa, maana kimfaacho mtu chake, Sasa nyie hamjui biashara au 11mil. Ukiwa na 9.2 pengine atakufikiria ni lini IST mpya ikauzwa 5mil au 6mil, hiyo gari ukiikagua vizuri siyo chini ya 9mil.. tena kauza haraka haraka.
Kama hamjui kitu is better to shut up.
Madalali wa kibongo njaa kali. Hiyo mil 11 ukichunguza kwa makini utagundua kilichoipandisha bei ni registration namba E, upuuzi tu.Dalali ni utasikia nyumba kali, gari kali ukiuona uhalisia sasa aisee hatari na nusu.
Hiyo gari 6M,regardless reg namba sasa jamaa anapambania apate cha juu hapo.Unauza milioni 11 na wewe ulilinunua shingi ngapi? Watanzania tubadilike tunakuwa tunauza vitu tulivyotumia.
Jibu hoja,so kwa hiyo kwa sababu soko lake lipo juu ndio imekuwa gari kali?. ACHA USHAMBA.Kama hujui kaa kimya Acha ujuaji ist unajua soko lake wewe
Go and buy it for 6mil. Amini kwamba 6Mil. Ingesha uzika Wala asingepandisha Uzi hapa jukwaani kuwa Gari inauzwa eleven millions.Hiyo gari 6M,regardless reg namba sasa jamaa anapambania apate cha juu hapo.
[emoji3][emoji3]hana hata dollar mojaKumbe unaijua vizuri hiyo gari, haya nenda wewe sasa kainunue.