Captain Fire
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 2,435
- 5,000
Gari ni v8 hizo ziingine ni mabeseni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taja beiSubaru XT mil 21 maongezi yapoo haina shida yoyote ile
Million 21Taja bei
Karibu tajiriNakuja pm tuyajenge
Ndugu umeruhusu comment kama hizi kwa kutokuweka bei pale mwanzoni.Wapi imeandikwa hyo 30M
Pumbavu unaongea kama demu wangu au? Dalali uchwara weweNa hapo ulipo hata mkokoteni huna waache wenye mabeseni waongee
Nimeelewa mkuu tusameheane bureNdugu umeruhusu comment kama hizi kwa kutokuweka bei pale mwanzoni.
Tofauti na hapo anatupigia kelele tuUKIFANYA PRO KATIKA BIASHARA YAKO BASI ZINGATIA MISINGI,
WEKA PICHA YA BIDHAA
WEKA BEI ELEKEZI YA BIDHAA
NA MAELEZO MAFUPI KUHUSU BIDHAA HIYO.
KILA LA KHERI MKUU, MOLA MLEZI AFANYE WEPESI KATIKA BIASHARA YAKO.
Ina turbo? Kama haina, basi hiyo sio XT.Subaru XT mil 21 maongezi yapoo haina shida yoyote ile
Hii siyo XT mkuu.Subaru XT mil 21 maongezi yapoo haina shida yoyote ile
Kwanin unatoa mfumo wa Gesi?Bei yake mil 14.. haina kipengele cha aina yoyote ile.. samahani kwa ubize na ukimya nipo na ibadilisha mfumo wa gesi na kuirudisha mfumo wa mafuta pekeyake
Hapana hauna shida kuiuza na mfumo wa gesi ni gharama zaidi maana kuuweka tu umenicost almost 2M na point zake .. nahisi nikiubakiza utanisumbua kwenye kuuzaKwanin unatoa mfumo wa Gesi?
Una shida?
Na huko kugusa gusa Engine hakuwez Kuleta shida?
Ndio boss wngAnhaaa, oookay. Millioni 21 na 14.