Car4Sale Nauza gari, Milioni 60 tu.. Vyuma vimekaza!

Car4Sale Nauza gari, Milioni 60 tu.. Vyuma vimekaza!

Walete hapa hao wamiliki wa mashule.. Waambie kuna gari inauzwa!
OK. nimesha waleta.
Huyu hapa malizaneni
16299244_163269574166334_3003023123262136148_n.jpg
 
Ni milioni 60 mkuu. Nimesahihisha. Bei niliitaja sivyo.
Unaitaka?!
Hapana mi ni muumini wa civilian, ingawa hiyo mtuakinunua ni mkataba.

Kwa wenye tenda katika makampuni au taasisi itawafaa maana elaitarudi katika kipindi cha miezi 19-20. Then gari bado inadai miaka mi2 tena kabla hujafikiria kuiuza.
 
Yani vyuma kukaza milion 60 vikiachia itakuwa shiling ngapi ...?mimi nina milion 40 kama upo tayari nipm tufanye biashara
 
Kaaaa nalo tuuu hvyo vikubane ka bisaa manake unaleta zereu humu
 
Unasema gari ni mpya mbona haijaja ndani ya boksi mkuu ?

Au maboksi ushayatupa
 
Unasema gari ni mpya mbona haijaja ndani ya boksi mkuu ?

Au maboksi ushayatupa
Pole dogo,huyu anazungumzia gari (motokaa),sio matoi (toys)....la kwenye maboksi muombe baba yako akienda mjini kesho akuleteee eeh, sawa totoh!!?
 
Yaani vyuma vinakaza kisha unauza kwa bei ya Showroom??
Aisee hapo havijakaza bado nadhani
 
60m ndio vyuma vimekazaee..wee ngoja vikaze vizuri ndio utabadilishana hiyo gari na ng'ombe wawili
 
Back
Top Bottom