Car4Sale Nauza gari Toyota Verossa

Maji ya mwarabu ndio unamaanisha nn mkuu Asprin
Maji ya mwarabu ni Petrol haya magari ya GX 110 yanabugia sana wese 1980cc halafu inabeba watu wa5 kwa usawa huu wa Magufuli kujaza lita 15 kwa 30,000/ kila siku ndicho watu wanaogopa.
halafu huenda lita 1 ya petrol ni kwa kilometa 8 au 6 kwa foleni za Dar
 
QUOTE="Mwaikibaki, post: 18814304, member: 279823"]Mkuu kama 3.5 niambie tuongee.[/QUOTE]
man power paki tu nyumban mwingine ata sema ana milion moja 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…